Yohana 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda,+ nanyi mpendane vivyo hivyo.+ Yohana 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane kama vile nilivyowapenda.+ 1 Petro 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zaidi ya mambo yote, pendaneni sana,+ kwa sababu upendo hufunika dhambi nyingi.+ 1 Yohana 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wapendwa, siwaandikii amri mpya, bali amri ya zamani ambayo mmekuwa nayo tangu mwanzo.+ Amri hiyo ya zamani ni neno ambalo mlisikia.
34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda,+ nanyi mpendane vivyo hivyo.+
7 Wapendwa, siwaandikii amri mpya, bali amri ya zamani ambayo mmekuwa nayo tangu mwanzo.+ Amri hiyo ya zamani ni neno ambalo mlisikia.