Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Yohana 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane kama vile nilivyowapenda.+ 1 Wathesalonike 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, kuhusu upendo wa kindugu,+ hatuhitaji kuwaandikia ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.+ Yakobo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi, ikiwa mnaifuata ile sheria ya kifalme kulingana na andiko, “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe,”+ mnafanya vema. 1 Petro 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Sasa kwa sababu mmejitakasa wenyewe* kwa kuwa watiifu kwa ile kweli na hivyo kuwa na upendo wa kindugu+ bila unafiki, pendaneni sana kutoka moyoni.+ 1 Yohana 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tunajua kwamba tumevuka kutoka kifo mpaka uzima,+ kwa sababu tunawapenda akina ndugu.+ Mtu ambaye hapendi hukaa katika kifo.+
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
9 Hata hivyo, kuhusu upendo wa kindugu,+ hatuhitaji kuwaandikia ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.+
8 Basi, ikiwa mnaifuata ile sheria ya kifalme kulingana na andiko, “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe,”+ mnafanya vema.
22 Sasa kwa sababu mmejitakasa wenyewe* kwa kuwa watiifu kwa ile kweli na hivyo kuwa na upendo wa kindugu+ bila unafiki, pendaneni sana kutoka moyoni.+
14 Tunajua kwamba tumevuka kutoka kifo mpaka uzima,+ kwa sababu tunawapenda akina ndugu.+ Mtu ambaye hapendi hukaa katika kifo.+