Yohana 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa kweli ninawaambia, yeyote ambaye husikia neno langu na kumwamini Yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye hahukumiwi bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia kwenye uzima.+ Waroma 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana sheria ya roho ambayo hutokeza uzima katika muungano na Kristo Yesu imewaweka ninyi huru+ kutoka katika sheria ya dhambi na kifo.
24 Kwa kweli ninawaambia, yeyote ambaye husikia neno langu na kumwamini Yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye hahukumiwi bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia kwenye uzima.+
2 Kwa maana sheria ya roho ambayo hutokeza uzima katika muungano na Kristo Yesu imewaweka ninyi huru+ kutoka katika sheria ya dhambi na kifo.