31 Basi Yesu akawaambia Wayahudi waliokuwa wamemwamini: “Mkikaa katika neno langu, ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu, 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+
25 Lakini anayechunguza sheria kamilifu+ ambayo ni ya uhuru na kudumu katika hiyo, amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi; naye atafurahia kile anachofanya.+