2 Petro 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini watu hawa, kama wanyama wanaotenda kwa silika na wanaozaliwa* ili kukamatwa na kuangamizwa, wanayatukana mambo wasioyajua.+ Watapata maangamizo yanayoletwa na mwendo wao wenyewe wa maangamizi,
12 Lakini watu hawa, kama wanyama wanaotenda kwa silika na wanaozaliwa* ili kukamatwa na kuangamizwa, wanayatukana mambo wasioyajua.+ Watapata maangamizo yanayoletwa na mwendo wao wenyewe wa maangamizi,