2 Petro 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 wakipata madhara kama thawabu ya mwendo wao wenye madhara. Wanafurahia kuishi maisha ya anasa,+ hata mchana. Wao ni madoa na dosari, wanafurahia* mafundisho yao ya udanganyifu huku wakila karamu pamoja nanyi.+
13 wakipata madhara kama thawabu ya mwendo wao wenye madhara. Wanafurahia kuishi maisha ya anasa,+ hata mchana. Wao ni madoa na dosari, wanafurahia* mafundisho yao ya udanganyifu huku wakila karamu pamoja nanyi.+