2 Petro 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na maana. Kwa kuvutia tamaa za mwili+ na kwa matendo ya upotovu wa maadili,* wanawashawishi watu waliotoka tu kuponyoka kutoka kwa watu wanaoishi katika kosa.+
18 Wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na maana. Kwa kuvutia tamaa za mwili+ na kwa matendo ya upotovu wa maadili,* wanawashawishi watu waliotoka tu kuponyoka kutoka kwa watu wanaoishi katika kosa.+