Ayubu 39:9-11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Je, fahali mwitu yuko tayari kukutumikia?+ Je, atalala zizini mwako* usiku? 10 Je, utamfunga fahali mwitu kwa kamba ili alime,Au, je, atakufuata ili alime* bondeni? 11 Je, utazitumaini nguvu zake nyingiNa kumwacha afanye kazi zako ngumu? Ufunuo 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alipofungua muhuri wa pili, nikamsikia kiumbe hai wa pili+ akisema: “Njoo!”
9 Je, fahali mwitu yuko tayari kukutumikia?+ Je, atalala zizini mwako* usiku? 10 Je, utamfunga fahali mwitu kwa kamba ili alime,Au, je, atakufuata ili alime* bondeni? 11 Je, utazitumaini nguvu zake nyingiNa kumwacha afanye kazi zako ngumu?