Ufunuo 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha nikaona, na tazama! wingu jeupe, na mtu fulani kama mwana wa binadamu alikuwa ameketi juu ya wingu hilo,+ akiwa na taji la dhahabu juu ya kichwa chake na mundu mkali mkononi mwake.
14 Kisha nikaona, na tazama! wingu jeupe, na mtu fulani kama mwana wa binadamu alikuwa ameketi juu ya wingu hilo,+ akiwa na taji la dhahabu juu ya kichwa chake na mundu mkali mkononi mwake.