Ufunuo 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na nzige hao walipewa ruhusa, si ya kuwaua, bali ya kuwatesa kwa miezi mitano, na mateso yao yalikuwa kama mateso ya mtu anapoumwa na nge.+
5 Na nzige hao walipewa ruhusa, si ya kuwaua, bali ya kuwatesa kwa miezi mitano, na mateso yao yalikuwa kama mateso ya mtu anapoumwa na nge.+