-
Ufunuo 20:1-3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Nami nikamwona malaika akishuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa shimo refu lisilo na mwisho*+ na mnyororo mkubwa mkononi mwake. 2 Akamkamata yule joka,+ yule nyoka wa zamani,+ ambaye ni Ibilisi+ na Shetani,+ na kumfunga kwa miaka 1,000. 3 Naye akamtupa katika shimo refu lisilo na mwisho*+ akalifunga na kulitia muhuri juu yake, ili asipotoshe mataifa tena mpaka ile miaka 1,000 itakapokwisha. Baada ya hapo atafunguliwa kwa muda mfupi.+
-