Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 8:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yesu akamuuliza: “Jina lako ni nani?” Akajibu: “Kikosi,” kwa sababu alikuwa ameingiwa na roho wengi waovu. 31 Nao wakaendelea kumsihi asiwaamuru waende katika shimo refu lisilo na mwisho.*+

  • Ufunuo 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wana mfalme juu yao, yule malaika wa shimo refu lisilo na mwisho.*+ Katika Kiebrania jina lake ni Abadoni,* lakini katika Kigiriki jina lake ni Apolioni.*

  • Ufunuo 20:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nami nikamwona malaika akishuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa shimo refu lisilo na mwisho*+ na mnyororo mkubwa mkononi mwake. 2 Akamkamata yule joka,+ yule nyoka wa zamani,+ ambaye ni Ibilisi+ na Shetani,+ na kumfunga kwa miaka 1,000. 3 Naye akamtupa katika shimo refu lisilo na mwisho*+ akalifunga na kulitia muhuri juu yake, ili asipotoshe mataifa tena mpaka ile miaka 1,000 itakapokwisha. Baada ya hapo atafunguliwa kwa muda mfupi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki