-
Ufunuo 10:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Nami nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni, akiwa amepambwa* wingu, na upinde wa mvua ulikuwa juu ya kichwa chake, na uso wake ulikuwa kama jua,+ na miguu yake ilikuwa kama nguzo za moto, 2 na mkononi mwake alikuwa na kitabu kidogo cha kukunjwa kilichofunguliwa. Naye akaweka mguu wake wa kuume juu ya bahari, na mguu wa kushoto juu ya dunia,
-