Ezekieli 37:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameiambia hivi mifupa hii: “Nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtakuwa hai.+ Ezekieli 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi nikatabiri kama alivyoniamuru, nayo pumzi* ikaingia ndani yao, nao wakaanza kuishi na kusimama kwa miguu yao;+ walikuwa jeshi kubwa ajabu.
5 “‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameiambia hivi mifupa hii: “Nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtakuwa hai.+
10 Basi nikatabiri kama alivyoniamuru, nayo pumzi* ikaingia ndani yao, nao wakaanza kuishi na kusimama kwa miguu yao;+ walikuwa jeshi kubwa ajabu.