Ezekieli 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikatoa unabii kama vile alivyokuwa ameniamuru, nayo pumzi ikaanza kuingia ndani yao, nao wakaanza kuishi na kusimama kwa miguu yao,+ jeshi kubwa, naam, kubwa sana. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 37:10 Ufahamu, Ibada Safi, kur. 116-119 Mnara wa Mlinzi (Funzo),3/2016, kur. 29-31
10 Nami nikatoa unabii kama vile alivyokuwa ameniamuru, nayo pumzi ikaanza kuingia ndani yao, nao wakaanza kuishi na kusimama kwa miguu yao,+ jeshi kubwa, naam, kubwa sana.