2 Lakini kuhusu ua ulio nje ya patakatifu pa hekalu, uache wala usiupime, kwa sababu umepewa mataifa, nao watalikanyaga lile jiji takatifu+ chini ya miguu yao kwa miezi 42.+ 3 Nitawafanya mashahidi wangu wawili watoe unabii kwa siku 1,260 wakiwa wamevaa nguo za magunia.”