Ufunuo 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nami nikaona maneno matatu machafu yaliyoongozwa na roho* ambayo yalionekana kama vyura yakitoka katika kinywa cha yule joka+ na katika kinywa cha yule mnyama wa mwituni na katika kinywa cha yule nabii wa uwongo. Ufunuo 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akamkamata yule joka,+ yule nyoka wa zamani,+ ambaye ni Ibilisi+ na Shetani,+ na kumfunga kwa miaka 1,000.
13 Nami nikaona maneno matatu machafu yaliyoongozwa na roho* ambayo yalionekana kama vyura yakitoka katika kinywa cha yule joka+ na katika kinywa cha yule mnyama wa mwituni na katika kinywa cha yule nabii wa uwongo.
2 Akamkamata yule joka,+ yule nyoka wa zamani,+ ambaye ni Ibilisi+ na Shetani,+ na kumfunga kwa miaka 1,000.