Ufunuo 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa inayowaka kama taa ikaanguka kutoka mbinguni, ikaanguka juu ya theluthi moja ya mito na juu ya chemchemi za maji.*+
10 Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa inayowaka kama taa ikaanguka kutoka mbinguni, ikaanguka juu ya theluthi moja ya mito na juu ya chemchemi za maji.*+