13 Malaika wa sita+ akaipiga tarumbeta yake.+ Nami nikasikia sauti moja kutoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu+ iliyo mbele za Mungu 14 ikimwambia malaika wa sita aliyekuwa na tarumbeta: “Wafungue malaika wanne waliofungwa kwenye mto mkubwa Efrati.”+