Mambo ya Walawi 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Sasa binti ya kuhani akijichafua kwa kufanya ukahaba, anamchafua baba yake. Binti huyo anapaswa kuchomwa moto.+ Ufunuo 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hiyo ndiyo sababu mapigo yake yatakuja katika siku moja, kifo na kuomboleza na njaa kali, naye atateketezwa kabisa kwa moto,+ kwa sababu Yehova* Mungu, aliyemhukumu, ni mwenye nguvu.+
9 “‘Sasa binti ya kuhani akijichafua kwa kufanya ukahaba, anamchafua baba yake. Binti huyo anapaswa kuchomwa moto.+
8 Hiyo ndiyo sababu mapigo yake yatakuja katika siku moja, kifo na kuomboleza na njaa kali, naye atateketezwa kabisa kwa moto,+ kwa sababu Yehova* Mungu, aliyemhukumu, ni mwenye nguvu.+