1 Wakorintho 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana lazima kutakuwa na madhehebu miongoni mwenu,+ ili wale waliokubaliwa kati yenu waonekane. Ufunuo 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Vivyo hivyo, pia una wale wanaofuata fundisho la madhehebu ya Nikolao.+
19 Kwa maana lazima kutakuwa na madhehebu miongoni mwenu,+ ili wale waliokubaliwa kati yenu waonekane.