Ufunuo 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na katikati ya vinara hivyo vya taa palikuwa na mtu kama mwana wa binadamu,+ aliyevaa vazi lililofika chini miguuni na kifuani alikuwa amevaa mshipi wa dhahabu. Ufunuo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kana kwamba nimekufa. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope. Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+
13 na katikati ya vinara hivyo vya taa palikuwa na mtu kama mwana wa binadamu,+ aliyevaa vazi lililofika chini miguuni na kifuani alikuwa amevaa mshipi wa dhahabu.
17 Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kana kwamba nimekufa. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope. Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+