Isaya 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa kilio cha shangwe.+ Shangwe isiyo na kikomo itakuwa taji la vichwa vyao.+ Watapata shangwe na furaha,Na huzuni na kilio cha uchungu vitatoweka.+ Isaya 65:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami nitashangilia kwa sababu ya Yerusalemu na kufurahi kwa sababu ya watu wangu;+Sauti ya kulia na ya maombolezo kwa sababu ya taabu haitasikika tena ndani yake.”+
10 Wale waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa kilio cha shangwe.+ Shangwe isiyo na kikomo itakuwa taji la vichwa vyao.+ Watapata shangwe na furaha,Na huzuni na kilio cha uchungu vitatoweka.+
19 Nami nitashangilia kwa sababu ya Yerusalemu na kufurahi kwa sababu ya watu wangu;+Sauti ya kulia na ya maombolezo kwa sababu ya taabu haitasikika tena ndani yake.”+