Zaburi
Muziki wa Daudi.
101 Nitaimba kuhusu upendo mshikamanifu na haki.
Nitakuimbia sifa,* Ee Yehova.
2 Nitatenda kwa busara na bila lawama.*
Utanijia lini?
Nitatembea kwa utimilifu wa moyo+ ndani ya nyumba yangu.
3 Sitaweka kitu chochote kisichofaa* mbele ya macho yangu.
Yeyote aliye na macho ya kiburi na moyo wenye majivuno,
Sitamvumilia.
6 Nitawatazama waaminifu wa dunia,
Ili wakae nami.
Yule anayetembea bila lawama* atanihudumia.