Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 16-uku. 17
  • Swali la 7: Biblia ilitabiri nini kuhusu siku zetu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Swali la 7: Biblia ilitabiri nini kuhusu siku zetu?
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Swali la 7: Biblia ilitabiri nini kuhusu siku zetu?

SWALI LA 7

Biblia ilitabiri nini kuhusu nyakati zetu?

Mtu anatafakari jinsi unabii wa Biblia kuhusu vita, upungufu wa chakula, la uasi-sheria unavyotimia

“Taifa litapigana na taifa na ufalme kupigana na ufalme . . . Mambo hayo yote ni mwanzo wa maumivu ya taabu.”

Mathayo 24:​7, 8

“Manabii wengi wa uwongo watatokea na kuwapotosha wengi; na kwa sababu ya kuongezeka kwa uasi-sheria, upendo wa wengi utapoa.”

Mathayo 24:​11, 12

“Mtakaposikia kuhusu vita na habari za vita, msiogope; lazima mambo hayo yatukie, lakini ule mwisho bado.”

Marko 13:7

“Kutakuwa na matetemeko makubwa ya ardhi, na magonjwa na upungufu wa chakula katika sehemu mbalimbali; pia kutakuwa na mambo yenye kuogopesha na ishara kubwa kutoka mbinguni.”

Luka 21:⁠11

“Katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo. Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa, wenye kujidai, wenye majivuno, wakufuru, wasiotii wazazi, wasio na shukrani, wasio washikamanifu, wasio na upendo wa asili, wasiotaka makubaliano yoyote, wachongezi, wasiojizuia, wakali, wasiopenda wema, wasaliti, wenye vichwa vigumu, waliojaa kiburi, wanaopenda raha badala ya kumpenda Mungu, wakionekana kama watu wanaomwogopa Mungu lakini wakizikana nguvu zake.”

2 Timotheo 3:​1-5

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki