Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 28-uku. 29
  • Swali la 16: Unawezaje kukabiliana na mahangaiko?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Swali la 16: Unawezaje kukabiliana na mahangaiko?
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Swali la 16: Unawezaje kukabiliana na mahangaiko?

SWALI LA 16

Unawezaje kukabiliana na mahangaiko?

“Mtupie Yehova mzigo wako, naye atakutegemeza. Hataruhusu kamwe mwadilifu aanguke.”

Zaburi 55:⁠22

“Mipango ya wenye bidii hakika huleta mafanikio, Lakini wote walio na haraka kwa hakika watakuwa maskini.”

Methali 21:5

“Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe. Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako. Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’”

Isaya 41:⁠10

“Ni nani kati yenu ambaye kwa kuhangaika anaweza kurefusha uhai wake kwa mkono mmoja?”

Mathayo 6:​27

“Basi, msihangaike kamwe kuhusu kesho, kwa maana kesho itakuwa na mahangaiko yake yenyewe. Kila siku ina matatizo yake ya kutosha.”

Mathayo 6:​34

“Mhakikishe mambo muhimu zaidi.”

Wafilipi 1:​10

Mama anasali pamoja na binti yake kabla ya kula

“Msihangaike kuhusiana na jambo lolote, bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu; na amani ya Mungu inayozidi uelewaji wote itailinda mioyo yenu na nguvu zenu za akili kupitia Kristo Yesu.”

Wafilipi 4:​6, 7

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki