Ibilisi alitoka wapi?
Ikiwa Mungu aliumba kila kitu, na kila kitu alichoumba ni chema, Ibilisi alitoka wapi? Mungu hangaliweza kumfanya hivyo, sivyo?
Ulizo hilo na mengine mengi linachunguzwa katika kitabu Kweli Iongozayo kwenye Uzima wa Milele. Tayari nakala milioni 100 za kitabu hiki zimechapishwa. Hiyo inakifanya kuwa kichapo chenye kuenezwa zaidi sana katika nchi za Magharibi, kuondoa Biblia.
Tafadhali mnipelekee kitabu chenye kurasa 192, “Kweli Iongozayo kwenye Uzima wa Milele.” Nimetia ndani Kshs. 6/50 (Tshs. 10/-, RWF 75).