Namna ya Kufaulu Katika Ndoa
Kwa sababu ndoa—na talaka—zinaongezeka wakati wote, waume na wake wanakiona kitabu “Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha” ni chenye manufaa sana. Kinazungumza habari za kufanya uchumba, ndoa na uzazi na kinatoa mashauri ya waziwazi yanayosaidia kutatua matatizo na kuifanya ndoa ifurahishe kama vile Muumba alivyokusudia iwe. Ili ujipatie nakala, tafadhali jaza kisehemu hiki na kukipeleka kwetu pamoja na Kshs. 6/50 (Tshs. 10/-, RWF 75).