Nakala Milioni 102 Katika Lugha 116
◆ Sababu gani tunazeeka na kufa?
◆ Kuzimu ni nini?
◆ Ni nini kinachoongoza mambo ya uchawi?
◆ Sababu gani Mungu ameruhusu uovu?
◆ Je! dunia hii itaharibiwa kwa moto?
Maulizo hayo na mengi zaidi yanajibiwa katika kitabu chenye kurasa 192. Kikiwa cha pili kwa Biblia, ndicho kitabu chenye kuenezwa zaidi katika nchi za Magharibi.
Nimetia ndani Kshs. 6/50 (Tshs. 15/-, RWF 75). Tafadhali nipelekeeni kitabu chenye kurasa 192 “Kweli Iongozayo Kwenye Uzima wa Milele.”
(Ikiwa unataka lugha yo yote ya hizo, onyesha ni lugha gani unayotaka)