1914 —Mwaka wa Mabadiliko Makubwa
Wanahistoria husema kwamba 1914 ulikuwa mwaka wa mabadiliko makubwa katika historia. Hata hivyo, Biblia ilikuwa imetabiri muda mrefu uliopita kwamba ndivyo ungekuwa. Biblia inasema nini kuhusu 1914? Wewe umeathiriwaje na mambo yaliyotukia wakati huo?
Majibu yenye kusisimua yametolewa katika kitabu Amani na Usalama wa Kweli—Wewe Unaweza Kuupataje? Ona kichwa “Ule Mwaka Uliotiwa Alama—1914 W.K.,” katika ukurasa wa 70. Kitabu hicho kilichosahihishwa katika 1988, kimefikia mwenezo wa kustaajabisha wa jumla ya nakala milioni 42 katika lugha 70.
Tafadhali nipelekeeni nakala ya kitabu chenye jalada gumu cha kurasa 192 Amani na Usalama wa Kweli—Wewe Unaweza Kuupataje?
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 32]
U.S. National Archives photo