Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g93 10/8 uku. 32
  • ‘Inafariji Kujua Kwamba Mtu Fulani Ajali’

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • ‘Inafariji Kujua Kwamba Mtu Fulani Ajali’
  • Amkeni!—1993
Amkeni!—1993
g93 10/8 uku. 32

‘Inafariji Kujua Kwamba Mtu Fulani Ajali’

Watu fulani huonekana kuwa wazima, lakini kumbe wanahisi vibaya sana. Ni nini kinachoweza kusaidia? Hangaiko na uelewevu ni wa maana. Mwaka jana mtu kama huyo aliandikia Watch Tower Society katika Brooklyn, New York:

“Nimetoka tu kusoma trakti Faraja kwa Walioshuka Moyo. Mimi hupatwa na mshuko wa moyo wa mara kwa mara unaoletwa na kutosawazika kwa kikemia. Trakti hiyo inafariji sana.

“Inafariji kujua kwamba kuna tumaini kuhusu mshuko wa moyo na kwamba kuna njia za kukabiliana nao. Pia inafariji kujua kwamba mtu fulani anajali na kuwaelewa watu kama mimi wanaougua mshuko wa moyo.”

Maneno ya trakti hiyo yamejaa maana. Ikiwa ungependa nakala yayo au ungependa kupata habari zaidi, tafadhali andikia I.B.S.A., Box 47788, Nairobi, Kenya, au tumia anwani ifaayo iliyoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5.

[Picha katika ukurasa wa 32]

Faraja kwa Walioshuka Moyo

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki