Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g94 11/22 uku. 32
  • Je, Biblia Ni Kitabu Kingine Tu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Biblia Ni Kitabu Kingine Tu?
  • Amkeni!—1994
Amkeni!—1994
g94 11/22 uku. 32

Je, Biblia Ni Kitabu Kingine Tu?

Ikiwa ndivyo, mbona imeshambuliwa vikali sana muda wote wa historia? Je, waweza kuitumaini Biblia? Je, miujiza iirekodiyo ilitendeka kikweli? Je, sayansi imeithibitisha Biblia kuwa yenye makosa?

Majibu ya kuridhisha ya maswali hayo yapatikana katika kitabu Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu? Mtunza-maktaba mmoja aliye mwalimu katika Budapest, Hungaria, alivutiwa sana na kitabu hicho. Katika barua aliyoandikia ofisi ya tawi ya Mashahidi wa Yehova katika Hungaria, mtu huyo alieleza hivi:

“Kimojapo vitabu vya mfukoni mnavyogawanya kiliamsha upendezi wangu. Kichwa chacho ni Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu? Mimi huongoza kikundi fulani katika shule yetu na huwafundisha Biblia. Lakini singeweza kukipata kitabu kidogo hiki popote. Ikiwezekana, je, mngeweza tafadhali kunipelekea nakala 30 ili vijana wengi zaidi na zaidi waweze kumrudia Yesu Kristo na kujifunza ile njia iongozayo kwenye maisha ya kweli?”

Ikiwa ungependa kupokea nakala ya kitabu hiki chenye jalada gumu cha kurasa 192 au kuwa na funzo la Biblia nyumbani bila malipo, tafadhali andikia I.B.S.A., Box 47788, Nairobi, Kenya, au tumia anwani ifaayo iliyoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki