Usiku wa Ukumbuko
UNAKARIBISHWA
MWADHIMISHO WA KILA MWAKA WA KIFO CHA YESU KRISTO
JUMANNE, APRILI 2, 1996
JUMBA LA UFALME LA MASHAHIDI WA YEHOVA
Yesu mwenyewe alianzisha ukumbusho wa kifo chake usiku uliotangulia kifo chake. Ilikuwa sherehe sahili. Mashahidi wa Yehova wanakukaribisha ujiunge nao katika kuadhimisha tukio hili la maana kwenye Jumba la Ufalme lililo karibu na makao yako. Pata habari ya wakati na mahali barabara pa huo mkutano kutoka kwa Mashahidi wa Yehova wa mahali penu.