Majibu yenye kusaidia kwa maswali yako!
• Mbona Wazazi Wangu Hawanielewi?
• Kwa Nini Baba na Mama Waliachana?
• Naweza Kufanyaje Marafiki wa Kweli?
• Kwa Nini Ninashuka Moyo Sana?
• Kwa Nini Watoto Hawaniachi Tu?
• Vipi Juu ya Ngono Kabla ya Ndoa?
Kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi hakina kifani kikilinganishwa na vitabu vingine vilivyotayarishwa kwa ajili ya vijana. Ni kitabu kilichotayarishwa kwa kutegemea mazungumzo pamoja na vijana wengi ulimwenguni pote. Na majibu yake, yanayotegemea Neno la Mungu, Biblia, yanafanya kazi kwelikweli! Maswali yaliyo juu ni baadhi tu ya mengi yanayojibiwa katika kitabu hicho chenye kurasa 320.
Ili upate nakala yako, unaweza kujaza kuponi iliyo hapa chini na kuituma kwa anwani iliyoonyeshwa au kwa anwani ifaayo iliyoorodheshwa katika ukurasa wa 5 wa gazeti hili.
□ Nitumieni nakala ya kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza —Majibu Yafanyayo Kazi.
□ Tafadhali wasilianeni nami kuhusu funzo la Biblia la nyumbani bila malipo.