Yaliyomo
UKURASA SURA
5 1 Baraka za Ajabu kutoka kwa Mungu Zakaribia Karibu!
11 2 Kwa nini ni Hekima Kuichungaza Dini Yako
27 4 Sababu Kwanini Tunazeeka na Tunakufa
46 6 Yesu Kristo, Yeye Ambaye Kupitia Kwake Mungu Hubariki Wanadamu
55 7 Je! Viko Viumbe Vibaya vya Kiroho?
65 8 Kwa Nini Mungu Ameruusu Uovu Yetu ya Leo?
75 9 Sababu Kwanini “Kundi Dogo” Huenda Mbinguni
82 10 Ufalme wa Mungu Huanza Kutawala Katikati ya Adui Zake
94 11 Siku za Mwisho za Taratibu Hii Mbovu ya Mambo
102 12 Utawala wa Haki Wafanya Dunia kuwa Paradiso
114 13 Kanisa La Kweli na Msingi Wake
122 14 Jinsi ya Kutambua Dini ya Kweli
140 16 Desturi Zinazopendwa na Watu Wengi Zinazomchukiza Mungu
151 17 Jinsi ya Kusali na Kusikiwa na Mungu
157 18 Utii wa Kikristo kwa Sheria
163 19 Heshima ya Kimungu kwa Uhai na Damu
170 20 Kujenga Maisha ya Furaha ya Jamaa
181 21 Uamuzi Wako Kumtumikia Mungu
187 22 Ibada ya Kweli Njia ya Maisha
Isipokuwa imeonyeshwa vingine, mitajo ya Maandiko yaliyotumiwa katika kitabu hiki inatoka katika Biblia ya Kiswahili ya Union Version, ya mwaka 196.
Mikato ya majina ya tafsiri nyingine za Biblia iliyotumiwa:
AT — The Bible: An American Translation, by J. Smith and E. Goodspeed, of 1935.
AV — Authorized or King James Version Bible, of 1611.
Dy — Roman Catholic Douay Version, of 1610.