Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
Je! Mungu Anajali?
Ikiwa ndivyo—
Sababu gani ameruhusu uovu?
Je! maisha yatakuwa bila taabu wakati wo wote?
Isipokuwa imeonyeshwa vingine, tafsiri za Biblia zilizotumiwa katika kijitabu hiki ni Union Version (UV), Habari Njema kwa Watu Wote (HNWW, Agano Jipya), Zaire Swahili Bible (ZSB) chapa ya mwaka wa 1975, na New World Translation of the Holy Scriptures (NW) chapa ya mwaka wa 1981 katika Kiingereza.