Ukurasa wa Kichwa/UKurasa wa Wachapishaji
Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani
Tumaini la watangazaji wa kitabu hiki ni kwamba utakuwa mmoja wa wale ambao Biblia inasema: “Waadilifu wenyewe wataimiliki dunia, nao watakaa milele juu yake.”—Zaburi 37:29, NW.
Isipokuwa imeonyeshwa vingine, mitajo ya Maandiko iliyotumiwa katika kitabu hiki imetokana na Biblia ya Kiswahili ya Union Version (UV), Habari Njema kwa Watu Wote (Agano Jipya, kifupi chake ni HNWW), Biblia ya Kiswahili ya Zaire (ZSB), chapa ya mwaka wa 1975, na New World Translation of the Holy Scriptures (NW), Chapa Mpya ya mwaka wa 1981.