Faharisi ya Vichwa
Abeli: 349
Abramu, Abrahamu, babu ya Wayahudi: 206-7
asili: 206-7
Ahimsa (kutotumia jeuri): 105-6
Dini ya Jaini: 104-5
Maoni ya Gandhi: 113
Aleksanda Mkuu, akaribishwa na Wayahudi: 213
Alkemia, Utao: 170-2
Allah, Mungu kwa Waislamu: 286-7
Amri Kumi
Anubisi, kijimungu cha Kimisri: 50, 53
Athene, “Mungu Asiyejulikana”: 69
sanamu na mahekalu katika: 29-30, 69
Babeli: 68
Babuloni, chanzo cha mawazo ya kidini: 39
Babuloni Mkuu: 368-70
‘tokeni kwake’: 371
Baha’i: 304-5
imani: 304-5
mwanzilishi: 304
Baraza la Nisea, Konstantino aitisha mkutano: 276
maaskofu wahudhuria: 276
papa hakuwepo: 276
Baraza la Worms: 316
fundisho juu ya helo: 126
kitabu kitakatifu cha Uhindu: 105
Biblia:
Lutheri: 317
mafundisho ya msingi: 17-18
nani aliiandika: 241
uasilia: 340-2
Pilato athibitishwa: 241
tamanio la Wycliffe: 310
Tyndale: 325
ya kwanza kamili ya Kiingereza: 310-11
Brahman, Brahm, mtu aliye mkuu zaidi wa Uhindu: 116, 119
Buddha
maana ya usemi: 137
Mabuddha wengine: 149
maoni juu ya asili ya: 137-8
Calvin, John: 322-5
alichoma Servetus: 322
alisisitiza maisha ya ugumu: 323-4
fundisho la kuamuliwa kimbele na Mungu: 323
Institutes: 323
mapinduzi makubwa ya kidini katika Geneva: 324
Chakula cha Jioni cha Bwana
imani ya Zwingli: 320
Mashahidi husherehekea: 357
washiriki: 357
Charoni: 54
Chuang-tzu, wa Dini ya Tao: 168-70
afanywa kiabudiwa: 183
afanywa mtakatifu: 175
maana ya jina: 175
njia ya kufundisha: 176
Coverdale, Miles: 325
Daudi, Mfalme, agano la Mungu na: 210
Dini
jaribio la kueleza: 26
kutambua dini ya kweli: 377
kutoka chanzo kimoja: 35-6
kwa nini binadamu ni wa kidini: 28
miongoni mwa watu wote: 19, 73
nadharia za asili ya: 21-5
nyuzi zile zile katika: 32
ya askari-jeshi Mroma: 60-1
yenye dosari ya damu: 370
Dini ya Buddha: 129-60
asili ya Buddha: 137
Dini ya Buddha ya Zen: 146
ibada ya mifano: 157
ilienezwa kupitia India: 140-1
ilienezwa na wakimbizi Waasia: 129
jitihada ya kibinafsi: 138-9
Johari Tatu: 140
Karma: 150-2
kikundi chenye mawazo tofauti cha Bara Lenye Utakato: 146
kikundi chenye mawazo tofauti cha Mahayana: 144-5, 149-50
kikundi chenye mawazo tofauti cha Theravada (Hinayana): 144, 149-50
kuzaliwa tena (samsara): 151
kuzorota katika India: 142-3
Kweli Bora Nne: 138-9
maandiko: 148-50
maandishi ya kidini yanayokubalika: 130-2
mafarakano: 143-8
Maliki Aśoka: 140
mnurisho: 138-40
mpipali (mti): 137
mweneo kufikia karne ya 7: 142-3
ni uagnosti?: 159-60
ni uatheisti?: 145
Njia ya Katikati: 137-8
washirika: 129
yafanana na Ukatoliki: 32-4
yavutia watu wa nchi za Magharibi: 143
Yoga: 137
Dini ya Buddha ya Tibet (Ulama): 33, 146-8
Dini ya Confucius: 161-3, 174-86
Chang Tao-ling: 172
falsafa au dini?: 175
ikawa kidhehebu cha Serikali: 183
kwa nini ilishinda: 178
kwa nini inapungukiwa?: 185
utatuzi wa matatizo ya kijamii?: 181
uvutano: 183-6
Vitabu vya Kawaida na Vitabu Bora Sana: 177
wazo la Tao: 163-4
Dini ya Kiyahudi: 205-34
Conservative: 227
dini ya jamii ya watu: 218
ibada ya mungu mmoja: 208, 218-19
idadi: 205
jina la Mungu: 225, 228-9, 232
Kethuvim: 220
Kupitwa (Pesach): 230-1
kwa nini yapendeza: 205-6
mezuzah: 231
migawanyiko ya kidini: 226-7
misherehekeo na desturi: 230-1
nafsi isiyoweza kufa: 219, 222-4
Nevi’im: 220
Orthodox: 226
Sabato (Shabbat): 230
Talmud: 221
tohara: 231
uvutano wa Kigiriki: 214
Yom Kippur: 230
Dini ya Shinto: 187-204
Amaterasu, kijimungu-kike-jua: 191-2, 200
Amri ya Kifalme: 200-1
desturi za kidini: 187
ibada ya maliki: 200-3
ibada ya wazazi wa kale waliokufa: 189
kami, vijimungu: 191-2
kamikaze: 198
maandishi ya Dini ya Shinto: 192, 200-1
nafsi zilizoondoka: 189-90
shintai: 191
sikukuu: 193-5
uvutano wa Dini ya Buddha: 196-8
washiriki: 188
Dini ya Sikh: 100-1
Guru Nānak, mwanzilishi: 100
mapokeo ya upigaji vita: 105
matumizi ya vilemba: 100-1
Dini ya Tao: 161-74
Chuang-tzu: 168-9
imani katika kutoweza kufa: 169-71
kwa nini inapungukiwa?: 185
Lao-tzu: 165-6
uvutano juu ya sanaa: 171
wasioweza kufa: 170-1
Dutch Reformed Church: 325
Eban, Abba, ‘Mnyanyaso wa Katoliki kwa Wayahudi’: 217
Fox, George, Wakweka: 326
Frazer, James, kuhusu mizungu: 24
Freud, Sigmund, nadharia za saikolojia: 24-5, 332
Furiko, simulizi la Biblia: 46-7
Gaea, kijimungu-kike cha Kigiriki: 42-3
Galileo, mtaalamu wa elimu-nyota-anga: 88, 331
Gandhi, Mahatma, ahimsa: 105, 113
Ganesa, kijimungu cha jaha njema: 96, 116
Ganges: bonde: 140
fungu la Siva: 122-3
fungu la Vishnu: 122
mto mtakatifu wa Uhindu: 4, 76, 121-4
Gibbon, Edward, juu ya uaguzi wa Kiroma: 82
Gilead, Watchtower Bible School of, iliyoanzishwa: 359-60
Gilgameshi, Utenzi wa: 47-9, 54
bamba la udongo: 47
Enkidu: 48
ngano: 48-9
Utnapishtimu: 49
Golden Bough, The, cha James Frazer: 24
Hadesi, kijimungu na makao: 53-4
Hekaya, zapatikana katika dini nyingi: 35
muhula murua: 35-8
Hekaya za furiko
Amerika ya Kusini: 51-2
Gilgameshi: 48-9
Kiazteki 51
Kichina: 50
Kihindu: 120
Kiinka: 51
Kimaya: 52
Kisumeri: 49
Har–Magedoni: 371
Hati za Rehema, za kipapa: 312, 315
Helo, fundisho la Biblia: 127-8
fundisho la Dini ya Tao: 174
fundisho la Kihindu: 126-7
fundisho la Kiislamu: 297, 299
mateso ya milele: 34
wonyesho wa Dini ya Buddha: 155
Henry 8, alitofautiana na papa: 325-6
Herme, Paulo kaitwa: 66
Hesiod (mshairi Mgiriki), Muhula Murua: 37
Works and Days: 37
Hispania, utekaji upya: 302
Hus, Jan: 311-12
Ibada ya Jua, Kiazteki: 57, 59
Kiinka: 57-9
Kimisri: 57
Ibada ya wazazi wa kale waliokufa: 151, 186
Ibada ya Mashetani, dhabihu za kibinadamu: 94
ibada za kishetani: 94
Ibada ya miungu mingi: 92-3, 97, 119
Ibada ya sanamu, maoni ya Biblia: 211, 357
Isisi, kijimungu-kike cha Kimisri: 59
Japan, hekaya ya asili: 170
Jina la Mungu: 225, 228-9, 232, 366
‘katazo la kutumia jina’
‘kuondolewa kwa Tetragrammatoni’: 232
matamshi yapotezwa: 225
‘matumizi yatetewa’: 228-9
‘visababishi vya katazo’: 229
‘waandikaji wa Agano Jipya walitumia Tetragrammatoni’: 259
dini kubwa-kubwa: 327
ilianzishwa na Konstantino: 273
ufafanuzi: 235
wafanya krusedi waua wazushi: 281-2
Kaini, ukosefu wa uvumilivu wa kidini: 349
Kanisa Anglikana: 313
Kanisa la Uingereza: 325-7
Kanisa Baptisti: 326-7
Kanisa Katoliki la Roma
kabaila mkubwa zaidi katika Ulaya: 307
kanisa la Mashariki lajitenga: 280
‘Kanisa lilitwaa desturi za kipagani’: 262
kipindi cha kuangamiza mifano: 280
lagawanywa na lugha na mahali: 279
‘lilirudi nyuma, likazorota, likafisidika’: 306
maelezo ya Machiavelli: 309
makanisa ya Koptiki ya Kiyakobo yajitenga: 279
‘mapapa wa kilimwengu kweli kweli’: 308
‘Paradiso yafungwa kwa wasiokuwa na pesa’: 308-9
ufanani na Dini ya Buddha: 33-4
ukosefu wa adili wa kikasisi: 308-9
upapa: 268-72
wakati wa upinduzi wa kidini wa Switzerland: 320
Kanisa la Kikongrigeshonali: 326
Kanisa la Scotland: 325
Kanisa la Umethodisti: 327
Kanisa na Serikali, Maoni ya Calvin: 324
maoni ya Waanabaptisti: 321
Kanuni za Imani za Jumuiya ya Wakristo: 328
Karma, kanusho la Biblia: 151-2
imani ya Dini ya Buddha: 151
manukuu ya Garuda Purana: 111
tokeo la: 112
Kijimungu-kike-mama: 277
Kichina: 33
Kimisri: 59
Matsu wa Kitao: 185
Knorr, Nathan H., msimamizi wa Watch Tower: 359
Knox, John, Mpinduzi wa Kidini wa Scotland: 325
Konstantino Mkuu
‘alianzisha Jumuiya ya Wakristo’: 273
alipendelea Wagiriki: 279
Baraza la Nisea: 276
kuongoka: 272-4
msalaba, njozi ya: 273
Kuamuliwa Kimbele na Mungu, theolojia ya Calvin: 323
Kugeuka Sura
Petro alikuwa shahidi: 67
uhalisi, si ngano: 252-4
Kuhama kwa nafsi
imani ya Kiyahudi: 223
‘nafsi katika mwili mwingine’: 223
Wabaha’i hukanusha: 305
Kutafakari, Gautama: 137
Dini ya Buddha ya Zen: 146
Kutofunga Ndoa: 34
Lao-tzu, wa Dini ya Tao: 165-6
Lazaro, kafufuliwa kutoka wafu: 249-51
Lin Yutang, juu ya Dini ya Confucius: 178
Lourdes, Ufaransa, kikanisa: 77
Lugha, ‘kutoka chanzo kimoja’: 31
‘alidumisha imani za kale’: 318
kugongomelea hoja: 314-16
“kuhesabiwa haki ni kwa imani”: 318
ndoa: 319
tafsiri ya Biblia: 317
Maaskofu, Wakristo wa mapema hawakuwa maaskofu: 267-70
Maat, kijimungu-kike cha Kimisri cha ukweli: 50, 53
Mafarisayo: 214-15
Mahakama ya Kuhukumia Wazushi wa Kidini, Takatifu, kazi na matokeo yayo: 282-3
Tomás de Torquemada: 283
Mageuzi, jibu la makasisi: 332
‘mageuzi yapatana na Biblia’: 332
matokeo juu ya dini: 332
uhai haukutokea kwa nasibu: 336
Makanisa ya Lutheri: 313
yafanana na Katoliki: 318-19
Makanisa ya Orthodox ya Mashariki, kuundwa kwa: 280
Makanisa (ya Mapinduzi ya Kidini) ya Ukalvini: 313, 327
kuamuliwa kimbele na Mungu: 323
Utatu: 322
Wahuguenoti: 325
Makka, ibada ya sanamu yatakaswa: 292
Manabii, Waebrania, walitumwa na Yehova: 210, 212
Mapigo, juu ya Misri: 62-4
Mapinduzi Makubwa ya Kidini: 306-28
chanzo mkataa: 314
jina Uprotestanti lilibuniwa: 317
kanuni za imani za kale zilisalia: 328
matokeo mabaya ya: 330-1
migawanyo mitatu mikubwa: 313
Ungamo la Augsburg: 317-18
yalifanya Biblia ipatikane: 328
Mao Tse-tung: 161
Marabi, walimu wa Kiyahudi: 214
Rambam: 221
Rashi: 221
Mariamu (mama ya Yesu)
fundisho la Mama ya Mungu: 277
kuheshimiwa mno: 278
wingi katika Biblia: 277
Marx, Karl: 332-3
Masadukayo: 214-15
Mashahidi wa Yehova: 344-65
Baraza Linaloongoza: 363
hali ya kutokuwamo kisiasa: 345-6
huduma ya nyumba kwa nyumba: 355, 358
idadi katika 1931, 1943, 1946, 1990: 359-61
imani: 356-8
jina latwaliwa: 358
mikutano ya funzo la Biblia: 360-2
“mkutano mkubwa”: 358-9
Mnara wa Mlinzi, Golden Age, Amkeni!: 352, 355
mstari kuanzia Abeli: 349
Yesu ni shahidi: 350
wa kuvuka mipaka ya mataifa: 348
waliona suala la enzi kuu: 355
wazee na watumishi, hakuna makasisi: 362-3
‘Mbingu mpya na dunia mpya,’ tumaini la Kikristo: 365
utawala mpya: 372-4
Mendelssohn, Moses
Mesiya, unabii wa Biblia: 232-3, 245
maoni ya kisasa ya Kiyahudi: 233-4
Wamesiya wa Bandia: 217
wazo la Kiyahudi: 233-4
Mfumo wa Matabaka, maoni ya Gandhi: 113
Mganga wa kienyeji: 77-8
Misa (Komunyo, au Ekaristi): 320
maoni ya Biblia: 357
Misri, Siriasi, mleta mafuriko ya Naili: 84
Mithrasi, kijimungu cha Kiroma: 61, 65
Mizungu, kama chanzo cha dini: 24
kawaida miongoni mwa dini: 74
mizungu ya kuiga: 78
mwanzo wa: 77-8
urogi: 79
Wahindi Waomaha: 79
Wangoni (Afrika Mashariki): 79
ya Kichina: 78-9
ya Tao: 170-2
Moksha, ufafanuzi: 114
njia za kuongoza kwenye: 110
Mormoni, Kitabu cha: 17
“kitovu cha jumuiya ya Waislamu”: 301
Mezquita, Hispania: 302-3
Muhammad, akataliwa Makka: 292
‘hakuna suala la Kiislamu lililoleta umwagaji-damu zaidi’: 293
‘kapaa mbinguni’: 286
kifo na mzozo: 292-5
kuitwa awe nabii: 286-8
maisha ya mapema: 286-7
mhamo, hijrah: 292
mwanzilishi wa Uislamu: 20
ndoa: 300
suala la uandamizi: 293-5
Muhammad al-Muntazar
Mungu, imani yashambuliwa: 334-5
kiapo kwa Abrahamu: 207-8
msingi wa imani katika: 334
uhusiano pamoja na: 378-9
Musa, kiongozi Mwebrania: 208-9
Mwislamu (Waislamu), maana ya: 285-6
sababu hukataa Wayahudi na Wakristo: 295-6
Mshi‛a: 293-5
Msunni: 293-5
Nafsi isiyoweza kufa, imani katika
asili ya: 126
Baha’i: 305
Dini ya Buddha leo: 151
Dini ya Shinto: 189
Dini ya Tao: 174
fundisho la Biblia: 224-5
imani ya mahali pote: 369-70
Kiafrika: 56
Kiashuru-Kibabuloni: 52-3
Kiazteki, Kiinka, Kimaya: 55
Kichina: 53
Kigiriki: 53-4
msingi wa ushirikina: 92
Wahindi Walgonqui: 75
Ngano: 41-68
Gilgameshi: 48-9
Kiafrika: 56
makao ya vijimungu: 42
nafsi isiyoweza kufa: 41, 52-5
Nirvana
wazo la Dini ya Buddha: 137, 154
OM, AUM, kiwakilishi cha neno cha Uhindu: 106, 116, 119
Osirisi, ndugu ya Isisi: 59
Pandora, ngano ya Kigiriki: 37
Papa, upapa: 268-72
atawala serikali yenye enzi yake: 272
‘jina lilitumiwa katika karne ya 3’: 271
majina: 272
Sylvester 1 hakuwako Nisea: 276
vyanzo vya mapato: 307-8
Paradiso
fundisho la Biblia: 372-5
imani ya Dini ya Buddha: 146
imani ya Kiislamu: 297, 299-300
Pentekoste, Mungu aliwapa Wakristo roho: 257, 260
Petro (mtume)
siye papa wa kwanza: 268
Pontifex Maximus, dini ya Serikali ya Roma: 65
papa atwaa jina hilo: 262, 271
Pontio Pilato, alihukumu Yesu: 254
kihistoria: 241
Porfiri, Yesu hakuitwa Mungu: 266
Purgatori: 315
Qurani, iliwasilishwa na Gabrieli: 6, 287-8
maana: 284
mafunuo ya kwanza: 288
“Pande la Damu”: 288
tafsiri: 291
ulinganifu wa Kibiblia: 285
“Utangulizi”: 284
wakati iliandikwa: 290
Ra, Amon-Ra
kijimungu-jua cha Kimisri: 57
Rhea, kijimungu-kike cha Kigiriki: 43-4
Roho, fundisho la Biblia: 153-4
imani katika: 75-6
Russell, Charles T.: 350-4
alianzisha Sosaiti ya Biblia: 352-3
alianzisha Zion’s Watchtower: 352
maisha ya mapema: 350-1
maoni juu ya mafundisho: 350-3
maoni juu ya 1914: 354
maoni juu ya parousia: 353
suala la ukombozi: 352
Rutherford, J.F., msimamizi wa Watch Tower: 355
Sala, tasbihi: 33
Sati, kujiua kwa wajane: 115, 118
Savonarola, Girolamo, Mpinduzi wa Kidini Mwitalia: 312-13
Sayansi, matokeo juu ya dini: 331-2
Septuagint
jina la Mungu katika: 259
wakati ilitafsiriwa: 213
Servetus, Michael
Mpinduzi wa Kidini Mhispania: 322
Shema, sala ya Kiebrania: 219
Shetani, Ibilisi, atiwa abiso: 371
hupofusha wasioamini: 367
Mara, ibilisi wa Dini ya Buddha: 137
Siasa ya Wayahudi Kurudi Sayuni, ‘kufanya umesiya kuwa wa kilimwengu’: 218
Siku ya Mwaka Mpya
sherehe ya Kimisri: 63
Sinagogi: 212
kifananishi cha: 99
Mahesha, Mahadeva: 120-1
Suetonio
‘Krestasi [Kristo]’: 237
‘Wakristo farakano jipya’: 260
Talmud, Gemara: 221
huheshimiwa zaidi ya Biblia: 216
Mishneh: 221
nafsi isiyoweza kufa katika: 223
Tanakh, migawanyo mitatu ya Biblia ya Kiebrania: 220
Tetragrammatoni
lilionyesha utu wenyewe wa Mungu: 228
yaonekana mara 6,828: 228
Tetzel, John, uuzaji wa hati za rehema: 315
Tolemayo, Klaudio, mtaalamu wa nyota na anga Mgiriki: 87
Totem and Taboo, cha Sigmund Freud: 24
Toynbee, Arnold
‘mwisho unaomfaa binadamu’: 14
‘tukio la mahali pa kuzaliwa’: 8
‘uhalisi wa kiroho’: 366
Tyndale, William, tafsiri ya Biblia: 325
Uagnosti, ufafanuzi: 7
Uasi-imani, katika Ukristo: 260
mitume watangulia kuonywa: 263-5, 278-9
Uatheisti: 329-34
katika Paris mwaka 1623: 331
kushindwa kwa makanisa: 333
‘mahali pa Mungu pachukuliwa’: 329
Mapinduzi Makubwa ya Kidini: 330-1
sayansi na falsafa: 331-4
Uingereza katika 1572: 330
Ubatizo: 320-1
Uchawi, Sheria za Bunge za kukataza: 80
wachawi wa kike na wa kiume: 70, 79
Uchina, ngano ya muhula murua: 37
Huang-Ti (Maliki wa Manjano): 36-8
mifupa ya vinyago: 83
sherehe za kiibada za mvua: 79
Shih Huang-Ti: 170
Ufufuo, fundisho la Biblia: 222, 224-5
imani ya Kiislamu: 297
katika theolojia ya Kiyahudi: 222
Lazaro afufuliwa: 249-51
neno la Kigiriki: 266
Yesu si ngano: 255-6
Tales of the Hasidim: 223
Walubavitcher: 226
Uhindu: 95-128
desturi za kidini: 95
istilahi ya: 106-7
kuhama kwa nafsi: 125-6
maandishi matakatifu: 17, 102-3, 105, 107
mafundisho na mwenendo: 105-14
maoni juu ya uhai: 97
si wenye miungu mingi?: 97, 119
ufafanuzi: 97
vijimungu na vijimungu-vike: 116-17
Yoga: 110
Uislamu: 284-303
idadi ya Waislamu: 284-5
kufia imani kwa Husayn: 295
maana ya: 285-6
ndoa ya muda: 300-1
Nguzo Tano za Imani: 296
Nguzo Tano za Mwadhimisho: 303
Qurani, Hadithi, Sharia: 290-1
shahadah, ungamo la imani: 296
Ukombozi
Russell, C. T.: 352
wakataliwa na Wabaha’i: 305
Ukristo, baraza linaloongoza: 267
hakuna jamii ya kikasisi: 269
hali ya kutokuwamo katika Roma ya kipagani: 347
hali ya kutokuwamo kisiasa leo: 344-6
‘kama Ukristo ungehifadhiwa’: 309
‘kama ulitungwa, ni mwujiza wa kustaajabisha mno’: 237
‘kizuizi cha Ukristo cha mapema’: 236
kuhubiri dini: 247-8
ufafanuzi: 235
‘ulitaka wapagani wabadilike’: 262
upendo ndio msingi: 244, 247, 344
‘ushikamanifu ulitiliwa shaka’: 60
si wa kitaifa: 348
Ukuta wa Hadrian, ibada ya Kiroma: 60-1
Ulimwengu mpya
dini moja tu: 378
Mungu ameahidi: 372-5
Umoja wa Mataifa, wafananishwa katika Biblia: 370
Unajimu: 84-8
asili ya: 84
falaki: 88
je! ni ya kisayansi?: 85
mamajusi: 86
ni yenye kufanana miongoni mwa dini nyingi: 74
orodha na ripoti za Kibabuloni: 84, 86
Siriasi na Naili: 84
Tetrabiblos ya Tolemayo: 87
unajimu-uzazi: 87
vikundi vya nyota: 86
Unamuno, Miguel de (msomi Mhispania)
‘nafsi isiyoweza kufa ni upagani’: 265
‘Yesu aliamini ufufuo’: 265
Unkulunkulu, hekaya ya kifo ya Wazulu: 56
Upendo, ufafanuzi: 247
Ushirikina: 70-2
hirizi na talasimu: 92
kuvaa mavazi meusi kwenye maziko: 70
mchezo usio na madhara?: 91-2, 94
nafsi isiyoweza kufa: 92
namba fulani: 71
siku ya kuzaliwa: 70
Utabiri wa Matukio Mema au Mabaya
fizionomonia: 89
kairomansi: 90
kinyago cha Delfi: 81-2
Kiroma: 82-3
ni kawaida miongoni mwa dini: 74
uaguzi wa kutumia maumbo ya ardhi (jiomansi): 83
‘Wababuloni wajulikana kwa ajili ya’: 80
yin na yang: 82-3
Zohar: 89
Utatu
Ariasi alikanusha: 274-5
fungu la Mungu lazamishwa: 277
halimo ndani ya Shema: 219
Mashahidi wakanusha: 356
mjadala ulipamba moto: 274-6
mjadala wa filioque: 280
msimamo wa Servetus: 322
msingi unaofanana: 369
ulisitawishwa katika mazingira ya kitheolojia: 229, 232
Wabaha’i wakanusha: 305
Waislamu wakanusha: 296-7
Utatu wa Vijimungu, vya, Kimisri: 59
Uhindu (Trimurti): 115-17
Uumbaji, sababu za: 336-9
Uwasiliani-roho: 69-94
hutambulisha Babuloni Mkuu: 369
Uzoroaster, Ahura Mazda, muumba: 36
Avesta, kitabu kitakatifu: 36
Vijimungu:
Amerika ya Kusini: 57-9
Dini ya Shinto: 190-2
Dini ya Tao: 172
ibada ya maumbile: 23
Kihindu: 116-17
Waashuri-Wababuloni: 45
Vishnu, avatari kumi: 119
Waalbigense: 310
mfanyizo wa: 281-2
wanyanyaswa: 282
Waangalizi, wazee
si maaskofu: 270-1
Waashkenazi: 216
Wahuguenoti: 325
Wakweka: 326
Walollard: 311
Wasefardi, jumuiya ya Kiyahudi: 216
Wayahudi: 205-34
chanzo cha jina: 207
taifa: 209
wafukuzwa Hispania: 217
Wesley, John, mwanzilishi wa Kanisa Methodisti: 327
Wittenberg, kitovu cha upinduzi wa kidini: 314-15
Wycliffe, John, Mpinduzi wa Kidini Mwingereza: 310-12, 325
Yehova: 225, 228-9, 232, 366-7
jina latumiwa mara 6,828: 228
namna ya Kilatini: 225
Yerusalemu, Wayahudi hawaruhusiwi: 215
lapinduliwa na Wababuloni: 212
lateketezwa na Waroma: 207, 215
Yesu Kristo, akubaliwa na Mungu: 252-4
alionyesha njia ya kwenda kwa Mungu: 244, 246
alitimiza unabii: 245
alitukuza jina la Baba yake: 258-9
kaamuru wanafunzi wahubiri: 376
kaonwa kuwa mdogo kwa Mungu: 274-5
kubatizwa, kupakwa mafuta: 240
kugeuka sura: 252-4
mahali pa kuzaliwa: 239
mwamba-msingi wa kanisa: 268
ni wa kingano?: 65-7, 237, 252-4
shahidi wa Yehova: 258
sifa za kumstahilisha: 236, 240
ufufuo ulichochea kuhubiri: 376
ufufuo ni msingi wa ulimwengu mpya: 375-6
Yin na yang, mbinu ya uaguzi: 82-3
wazo la Tao: 168
Yosefo, Flavio, ‘Herode aliua Yohana’: 66-7
Wayahudi walikaribisha Aleksanda: 213
‘Yesu stadi’: 67
Zeu, Barnaba aitwa: 66
kijimungu cha Kigiriki: 43-4, 54
Zohari, kijimungu cha Kigiriki: 42-3
Zwingli, Ulrich, Mpinduzi wa Kidini wa Switzerland: 319-20