Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sh kur. 380-383
  • Faharisi ya Vichwa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Faharisi ya Vichwa
  • Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu
Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu
sh kur. 380-383

Faharisi ya Vichwa

Abeli: 349

Abramu, Abrahamu, babu ya Wayahudi: 206-7

asili: 206-7

Ahimsa (kutotumia jeuri): 105-6

Dini ya Jaini: 104-5

Maoni ya Gandhi: 113

Aleksanda Mkuu, akaribishwa na Wayahudi: 213

Alkemia, Utao: 170-2

Allah, Mungu kwa Waislamu: 286-7

Amri Kumi

sheria ya Israeli: 209, 211

Anubisi, kijimungu cha Kimisri: 50, 53

Athene, “Mungu Asiyejulikana”: 69

sanamu na mahekalu katika: 29-30, 69

ushuhuda wa Paulo: 30-1, 69

Babeli: 68

Babuloni, chanzo cha mawazo ya kidini: 39

Babuloni Mkuu: 368-70

‘tokeni kwake’: 371

Baha’i: 304-5

imani: 304-5

mwanzilishi: 304

Baraza la Nisea, Konstantino aitisha mkutano: 276

maaskofu wahudhuria: 276

papa hakuwepo: 276

Baraza la Worms: 316

Bhagavad Gita: 103, 105

fundisho juu ya helo: 126

kitabu kitakatifu cha Uhindu: 105

Biblia:

Lutheri: 317

mafundisho ya msingi: 17-18

nani aliiandika: 241

uasilia: 340-2

Pilato athibitishwa: 241

tamanio la Wycliffe: 310

Tyndale: 325

ya kwanza kamili ya Kiingereza: 310-11

Brahma, Muumba: 115-16, 118

Brahman, Brahm, mtu aliye mkuu zaidi wa Uhindu: 116, 119

Buddha

maana ya usemi: 137

Mabuddha wengine: 149

maoni juu ya asili ya: 137-8

Calvin, John: 322-5

alichoma Servetus: 322

alisisitiza maisha ya ugumu: 323-4

fundisho la kuamuliwa kimbele na Mungu: 323

Institutes: 323

mapinduzi makubwa ya kidini katika Geneva: 324

Chakula cha Jioni cha Bwana

imani ya Zwingli: 320

Mashahidi husherehekea: 357

washiriki: 357

Charoni: 54

Chuang-tzu, wa Dini ya Tao: 168-70

Confucius: 21, 174-9

afanywa kiabudiwa: 183

afanywa mtakatifu: 175

ibada leo: 181, 185

maana ya jina: 175

njia ya kufundisha: 176

Coverdale, Miles: 325

Dalai Lama: 143, 147

Daudi, Mfalme, agano la Mungu na: 210

Dini

jaribio la kueleza: 26

kutambua dini ya kweli: 377

kutoka chanzo kimoja: 35-6

kwa nini binadamu ni wa kidini: 28

miongoni mwa watu wote: 19, 73

nadharia za asili ya: 21-5

nyuzi zile zile katika: 32

ufafanuzi: 7, 15-16, 265

ya askari-jeshi Mroma: 60-1

yenye dosari ya damu: 370

Dini ya Buddha: 129-60

asili ya Buddha: 137

bodhisattva: 137, 145, 150

Buddh Gaya, India: 77, 143

Dini ya Buddha ya Zen: 146

ibada ya mifano: 157

ilienezwa kupitia India: 140-1

ilienezwa na wakimbizi Waasia: 129

jitihada ya kibinafsi: 138-9

Johari Tatu: 140

Karma: 150-2

kikundi chenye mawazo tofauti cha Bara Lenye Utakato: 146

kikundi chenye mawazo tofauti cha Mahayana: 144-5, 149-50

kikundi chenye mawazo tofauti cha Theravada (Hinayana): 144, 149-50

kuzaliwa tena (samsara): 151

kuzorota katika India: 142-3

Kweli Bora Nne: 138-9

Lotus Sutra: 148, 150

maandiko: 148-50

maandishi ya kidini yanayokubalika: 130-2

mafarakano: 143-8

Maliki Aśoka: 140

mielekeo ya kisasa: 156, 158

mnurisho: 138-40

mpipali (mti): 137

Msitu wa Lumbini: 133, 143

mweneo kufikia karne ya 7: 142-3

ni uagnosti?: 159-60

ni uatheisti?: 145

Nirvana: 137, 146, 154

Njia ya Katikati: 137-8

Vikapu Vitatu: 17, 149

washirika: 129

yafanana na Ukatoliki: 32-4

yavutia watu wa nchi za Magharibi: 143

Yoga: 137

Dini ya Buddha ya Tibet (Ulama): 33, 146-8

Dini ya Confucius: 161-3, 174-86

Chang Tao-ling: 172

falsafa au dini?: 175

ikawa kidhehebu cha Serikali: 183

kwa nini ilishinda: 178

kwa nini inapungukiwa?: 185

utatuzi wa matatizo ya kijamii?: 181

uvutano: 183-6

Vitabu vya Kawaida na Vitabu Bora Sana: 177

wazo la jen: 180, 182

wazo la li: 180, 182

wazo la Tao: 163-4

Dini ya Jaini: 104-5, 108

Dini ya Kiyahudi: 205-34

Conservative: 227

dini ya jamii ya watu: 218

ibada ya mungu mmoja: 208, 218-19

idadi: 205

jina la Mungu: 225, 228-9, 232

Kethuvim: 220

Kupitwa (Pesach): 230-1

kwa nini yapendeza: 205-6

ya Reform: 223-4, 226-7

mezuzah: 231

migawanyiko ya kidini: 226-7

misherehekeo na desturi: 230-1

nafsi isiyoweza kufa: 219, 222-4

Nevi’im: 220

Orthodox: 226

Sabato (Shabbat): 230

Talmud: 221

tohara: 231

Torah: 17, 220

Uhasidimu: 217, 223, 226

uvutano wa Kigiriki: 214

Yom Kippur: 230

Dini ya Shinto: 187-204

Amaterasu, kijimungu-kike-jua: 191-2, 200

Amri ya Kifalme: 200-1

desturi za kidini: 187

ibada ya maliki: 200-3

ibada ya wazazi wa kale waliokufa: 189

kami, vijimungu: 191-2

kamikaze: 198

maandishi ya Dini ya Shinto: 192, 200-1

nafsi zilizoondoka: 189-90

shintai: 191

sikukuu: 193-5

uvutano wa Dini ya Buddha: 196-8

washiriki: 188

Dini ya Sikh: 100-1

Guru Nānak, mwanzilishi: 100

mapokeo ya upigaji vita: 105

matumizi ya vilemba: 100-1

Dini ya Tao: 161-74

bwana wa kimbingu: 172, 184-5

Chuang-tzu: 168-9

I Ching: 83, 168

imani katika kutoweza kufa: 169-71

kwa nini inapungukiwa?: 185

Lao-tzu: 165-6

Tao Te Ching: 166-7, 169

uvutano juu ya sanaa: 171

wasioweza kufa: 170-1

wazo la Tao: 163-4, 166-7

Durga, Kali: 116-17, 121

Dutch Reformed Church: 325

Eban, Abba, ‘Mnyanyaso wa Katoliki kwa Wayahudi’: 217

Fox, George, Wakweka: 326

Frazer, James, kuhusu mizungu: 24

Freud, Sigmund, nadharia za saikolojia: 24-5, 332

Furiko, simulizi la Biblia: 46-7

Gaea, kijimungu-kike cha Kigiriki: 42-3

Galileo, mtaalamu wa elimu-nyota-anga: 88, 331

Gandhi, Mahatma, ahimsa: 105, 113

Ganesa, kijimungu cha jaha njema: 96, 116

Ganges: bonde: 140

fungu la Siva: 122-3

fungu la Vishnu: 122

mto mtakatifu wa Uhindu: 4, 76, 121-4

Gibbon, Edward, juu ya uaguzi wa Kiroma: 82

Gilead, Watchtower Bible School of, iliyoanzishwa: 359-60

Gilgameshi, Utenzi wa: 47-9, 54

bamba la udongo: 47

Enkidu: 48

ngano: 48-9

Utnapishtimu: 49

Golden Bough, The, cha James Frazer: 24

Hadesi, kijimungu na makao: 53-4

Hekaya, zapatikana katika dini nyingi: 35

muhula murua: 35-8

Hekaya za furiko

Amerika ya Kusini: 51-2

Gilgameshi: 48-9

Kiazteki 51

Kichina: 50

Kihindu: 120

Kiinka: 51

Kimaya: 52

Kisumeri: 49

Har–Magedoni: 371

Hathori: 59, 62-3

Hati za Rehema, za kipapa: 312, 315

Helo, fundisho la Biblia: 127-8

fundisho la Dini ya Tao: 174

fundisho la Kihindu: 126-7

fundisho la Kiislamu: 297, 299

mateso ya milele: 34

wonyesho wa Dini ya Buddha: 155

Henry 8, alitofautiana na papa: 325-6

Herme, Paulo kaitwa: 66

Hesiod (mshairi Mgiriki), Muhula Murua: 37

Theogony: 42, 44

Works and Days: 37

Hispania, utekaji upya: 302

Wayahudi kufukuzwa: 217, 302

Horasi: 59, 62

Hus, Jan: 311-12

Ibada ya Jua, Kiazteki: 57, 59

Kiinka: 57-9

Kimisri: 57

Ibada ya wazazi wa kale waliokufa: 151, 186

Ibada ya Mashetani, dhabihu za kibinadamu: 94

ibada za kishetani: 94

Ibada ya miungu mingi: 92-3, 97, 119

Ibada ya sanamu, maoni ya Biblia: 211, 357

I Ching, uaguzi: 83, 168

Isisi, kijimungu-kike cha Kimisri: 59

Japan, hekaya ya asili: 170

Jina la Mungu: 225, 228-9, 232, 366

‘katazo la kutumia jina’

‘kuondolewa kwa Tetragrammatoni’: 232

matamshi yapotezwa: 225

‘matumizi yatetewa’: 228-9

‘visababishi vya katazo’: 229

‘waandikaji wa Agano Jipya walitumia Tetragrammatoni’: 259

Jumuiya ya Wakristo: 309, 313

dini kubwa-kubwa: 327

ilianzishwa na Konstantino: 273

maaskofu: 267, 269-70

ufafanuzi: 235

wafanya krusedi waua wazushi: 281-2

Kaabah, maelezo: 287, 289

Kaini, ukosefu wa uvumilivu wa kidini: 349

Kanisa Anglikana: 313

Kanisa la Uingereza: 325-7

Kanisa Baptisti: 326-7

Kanisa Katoliki la Roma

kabaila mkubwa zaidi katika Ulaya: 307

kanisa la Mashariki lajitenga: 280

‘Kanisa lilitwaa desturi za kipagani’: 262

kipindi cha kuangamiza mifano: 280

lagawanywa na lugha na mahali: 279

‘lilirudi nyuma, likazorota, likafisidika’: 306

maelezo ya Machiavelli: 309

makanisa ya Koptiki ya Kiyakobo yajitenga: 279

‘mapapa wa kilimwengu kweli kweli’: 308

‘Paradiso yafungwa kwa wasiokuwa na pesa’: 308-9

tasbihi: 5, 33

ufanani na Dini ya Buddha: 33-4

ukosefu wa adili wa kikasisi: 308-9

upapa: 268-72

wakati wa upinduzi wa kidini wa Switzerland: 320

Kanisa la Kikongrigeshonali: 326

Kanisa la Scotland: 325

Kanisa la Umethodisti: 327

Kanisa na Serikali, Maoni ya Calvin: 324

maoni ya Waanabaptisti: 321

Kanuni za Imani za Jumuiya ya Wakristo: 328

Karma, kanusho la Biblia: 151-2

imani ya Dini ya Buddha: 151

manukuu ya Garuda Purana: 111

tokeo la: 112

ufafanuzi: 103, 106

Kijimungu-kike-mama: 277

Katoliki: 33, 277

Kichina: 33

Kimisri: 59

Matsu wa Kitao: 185

Uhindu: 98, 121

Knorr, Nathan H., msimamizi wa Watch Tower: 359

Knox, John, Mpinduzi wa Kidini wa Scotland: 325

Konstantino Mkuu

‘alianzisha Jumuiya ya Wakristo’: 273

alipendelea Wagiriki: 279

Baraza la Nisea: 276

kuongoka: 272-4

msalaba, njozi ya: 273

Koperniko: 88, 331

Kronosi, Kronasi: 43-4, 54

Kuamuliwa Kimbele na Mungu, theolojia ya Calvin: 323

Kugeuka Sura

Petro alikuwa shahidi: 67

uhalisi, si ngano: 252-4

Kuhama kwa nafsi

imani ya Kiyahudi: 223

‘nafsi katika mwili mwingine’: 223

samsara ya Uhindu: 102-3, 106

Wabaha’i hukanusha: 305

Kutafakari, Gautama: 137

Dini ya Buddha ya Zen: 146

Kutofunga Ndoa: 34

Lao-tzu, wa Dini ya Tao: 165-6

Lazaro, kafufuliwa kutoka wafu: 249-51

Lin Yutang, juu ya Dini ya Confucius: 178

Lourdes, Ufaransa, kikanisa: 77

Lugha, ‘kutoka chanzo kimoja’: 31

Lutheri, Martin: 21, 314-19

‘alidumisha imani za kale’: 318

kugongomelea hoja: 314-16

“kuhesabiwa haki ni kwa imani”: 318

ndoa: 319

tafsiri ya Biblia: 317

Maaskofu, Wakristo wa mapema hawakuwa maaskofu: 267-70

Maat, kijimungu-kike cha Kimisri cha ukweli: 50, 53

Mafarisayo: 214-15

Mahakama ya Kuhukumia Wazushi wa Kidini, Takatifu, kazi na matokeo yayo: 282-3

Tomás de Torquemada: 283

Mageuzi, jibu la makasisi: 332

‘mageuzi yapatana na Biblia’: 332

matokeo juu ya dini: 332

uhai haukutokea kwa nasibu: 336

Makanisa ya Lutheri: 313

yafanana na Katoliki: 318-19

Makanisa ya Orthodox ya Mashariki, kuundwa kwa: 280

Makanisa (ya Mapinduzi ya Kidini) ya Ukalvini: 313, 327

kuamuliwa kimbele na Mungu: 323

Utatu: 322

Wahuguenoti: 325

Makka, ibada ya sanamu yatakaswa: 292

kuhiji: 4, 289, 303

mahali pa Kaabah: 287, 289

Manabii, Waebrania, walitumwa na Yehova: 210, 212

Mapigo, juu ya Misri: 62-4

Mapinduzi Makubwa ya Kidini: 306-28

chanzo mkataa: 314

hoja 95 za Lutheri: 315-16

jina Uprotestanti lilibuniwa: 317

kanuni za imani za kale zilisalia: 328

matokeo mabaya ya: 330-1

migawanyo mitatu mikubwa: 313

Ungamo la Augsburg: 317-18

yalifanya Biblia ipatikane: 328

Mao Tse-tung: 161

Marabi, walimu wa Kiyahudi: 214

Rambam: 221

Rashi: 221

Mariamu (mama ya Yesu)

fundisho la Mama ya Mungu: 277

kuheshimiwa mno: 278

wingi katika Biblia: 277

Marx, Karl: 332-3

Masadukayo: 214-15

Mashahidi wa Yehova: 344-65

144,000 kutawala: 358

Baraza Linaloongoza: 363

hali ya kutokuwamo kisiasa: 345-6

huduma ya nyumba kwa nyumba: 355, 358

idadi katika 1931, 1943, 1946, 1990: 359-61

imani: 356-8

jina latwaliwa: 358

mikutano ya funzo la Biblia: 360-2

“mkutano mkubwa”: 358-9

Mnara wa Mlinzi, Golden Age, Amkeni!: 352, 355

mstari kuanzia Abeli: 349

Yesu ni shahidi: 350

wa kuvuka mipaka ya mataifa: 348

waliona suala la enzi kuu: 355

wanyanyaswa: 345-6, 360

wazee na watumishi, hakuna makasisi: 362-3

‘Mbingu mpya na dunia mpya,’ tumaini la Kikristo: 365

utawala mpya: 372-4

Mendelssohn, Moses

Haskala: 217-18, 227

Mesiya, unabii wa Biblia: 232-3, 245

maoni ya kisasa ya Kiyahudi: 233-4

Wamesiya wa Bandia: 217

wazo lakataliwa: 218, 234

wazo la Kiyahudi: 233-4

Mfumo wa Matabaka, maoni ya Gandhi: 113

manne makubwa: 108-9, 111

Mganga wa kienyeji: 77-8

Misa (Komunyo, au Ekaristi): 320

maoni ya Biblia: 357

Misri, Siriasi, mleta mafuriko ya Naili: 84

Mithrasi, kijimungu cha Kiroma: 61, 65

Mizungu, kama chanzo cha dini: 24

kawaida miongoni mwa dini: 74

mizungu ya kuiga: 78

mwanzo wa: 77-8

urogi: 79

Wahindi Waomaha: 79

Wangoni (Afrika Mashariki): 79

ya Kichina: 78-9

ya Tao: 170-2

Moksha, ufafanuzi: 114

njia za kuongoza kwenye: 110

Mormoni, Kitabu cha: 17

Msikiti: 298, 303

“kitovu cha jumuiya ya Waislamu”: 301

Mezquita, Hispania: 302-3

Muhammad, akataliwa Makka: 292

‘hakuna suala la Kiislamu lililoleta umwagaji-damu zaidi’: 293

‘kapaa mbinguni’: 286

kifo na mzozo: 292-5

kipindi cha mafunuo: 288, 290

kuitwa awe nabii: 286-8

maisha ya mapema: 286-7

mhamo, hijrah: 292

mwanzilishi wa Uislamu: 20

ndoa: 300

Qurani yakaririwa: 288, 290

suala la uandamizi: 293-5

Muhammad al-Muntazar

imamu 12, na Mahdi: 295

Mungu, imani yashambuliwa: 334-5

jina: 225, 228-9, 232

kiapo kwa Abrahamu: 207-8

msingi wa imani katika: 334

uhusiano pamoja na: 378-9

Musa, kiongozi Mwebrania: 208-9

Mwislamu (Waislamu), maana ya: 285-6

sababu hukataa Wayahudi na Wakristo: 295-6

Mshi‛a: 293-5

Msunni: 293-5

Nafsi isiyoweza kufa, imani katika

asili ya: 126

Baha’i: 305

Dini ya Buddha leo: 151

Dini ya Kiyahudi: 219, 222-5

Dini ya Shinto: 189

Dini ya Tao: 174

fundisho la Biblia: 224-5

imani ya mahali pote: 369-70

Kiafrika: 56

Kiashuru-Kibabuloni: 52-3

Kiazteki, Kiinka, Kimaya: 55

Kichina: 53

Kigiriki: 53-4

Kihindu: 112, 114

Kiislamu: 297, 299-300

Kimisri: 53, 59

msingi wa ushirikina: 92

si ya Kibiblia: 250, 356

Wahindi Walgonqui: 75

Ngano: 41-68

Gilgameshi: 48-9

Kiafrika: 56

Kiazteki: 51, 55, 57, 59

Kichina: 44-5, 50, 53

Kigiriki: 42-4, 54

Kiinka: 45-6, 55

Kimaya: 52, 55

Kimisri: 57, 59, 62-4

Kiroma: 43, 60-1, 64-5

makao ya vijimungu: 42

nafsi isiyoweza kufa: 41, 52-5

Nirvana

kanusho la Biblia: 154, 156

wazo la Dini ya Buddha: 137, 154

OM, AUM, kiwakilishi cha neno cha Uhindu: 106, 116, 119

Osirisi, ndugu ya Isisi: 59

alihukumu nafsi: 50, 53

Pandora, ngano ya Kigiriki: 37

Papa, upapa: 268-72

atawala serikali yenye enzi yake: 272

‘jina lilitumiwa katika karne ya 3’: 271

Leo 1: 271

Leo 3: 272

majina: 272

Petro hakuwa papa: 268, 272

Sylvester 1 hakuwako Nisea: 276

vyanzo vya mapato: 307-8

Paradiso

fundisho la Biblia: 372-5

imani ya Dini ya Buddha: 146

imani ya Kiislamu: 297, 299-300

Pentekoste, Mungu aliwapa Wakristo roho: 257, 260

Petro (mtume)

siye papa wa kwanza: 268

Pontifex Maximus, dini ya Serikali ya Roma: 65

papa atwaa jina hilo: 262, 271

Pontio Pilato, alihukumu Yesu: 254

kihistoria: 241

Porfiri, Yesu hakuitwa Mungu: 266

Purgatori: 315

Qurani, iliwasilishwa na Gabrieli: 6, 287-8

Kiarabu: 284, 290-1

kipindi cha mafunuo: 288, 290

maana: 284

mafunuo ya kwanza: 288

“Pande la Damu”: 288

tafsiri: 291

ulinganifu wa Kibiblia: 285

“Utangulizi”: 284

wakati iliandikwa: 290

Ra, Amon-Ra

kijimungu-jua cha Kimisri: 57

Rama: 97, 103, 116

Rhea, kijimungu-kike cha Kigiriki: 43-4

Roho, fundisho la Biblia: 153-4

imani katika: 75-6

Russell, Charles T.: 350-4

alianzisha Sosaiti ya Biblia: 352-3

alianzisha Zion’s Watchtower: 352

maisha ya mapema: 350-1

maoni juu ya mafundisho: 350-3

maoni juu ya 1914: 354

maoni juu ya parousia: 353

suala la ukombozi: 352

Rutherford, J.F., msimamizi wa Watch Tower: 355

Sala, tasbihi: 33

gurudumu: 33, 147

Sati, kujiua kwa wajane: 115, 118

Savonarola, Girolamo, Mpinduzi wa Kidini Mwitalia: 312-13

Sayansi, matokeo juu ya dini: 331-2

Septuagint

jina la Mungu katika: 259

wakati ilitafsiriwa: 213

Servetus, Michael

Mpinduzi wa Kidini Mhispania: 322

Shema, sala ya Kiebrania: 219

Shetani, Ibilisi, atiwa abiso: 371

hupofusha wasioamini: 367

Mara, ibilisi wa Dini ya Buddha: 137

Siasa ya Wayahudi Kurudi Sayuni, ‘kufanya umesiya kuwa wa kilimwengu’: 218

Siku ya Mwaka Mpya

sherehe ya Kimisri: 63

Sinagogi: 212

Siva, Mharabu: 115, 117

kifananishi cha: 99

Mahesha, Mahadeva: 120-1

Suetonio

‘Krestasi [Kristo]’: 237

‘Wakristo farakano jipya’: 260

Talmud, Gemara: 221

huheshimiwa zaidi ya Biblia: 216

Mishneh: 221

nafsi isiyoweza kufa katika: 223

sheria ya mdomo: 216, 221

Tanakh, migawanyo mitatu ya Biblia ya Kiebrania: 220

Tetragrammatoni

konsonanti nne: 225, 246

lilionyesha utu wenyewe wa Mungu: 228

yaonekana mara 6,828: 228

Tetzel, John, uuzaji wa hati za rehema: 315

Tolemayo, Klaudio, mtaalamu wa nyota na anga Mgiriki: 87

Totem and Taboo, cha Sigmund Freud: 24

Toynbee, Arnold

‘mwisho unaomfaa binadamu’: 14

‘tukio la mahali pa kuzaliwa’: 8

‘uhalisi wa kiroho’: 366

Tyndale, William, tafsiri ya Biblia: 325

Uagnosti, ufafanuzi: 7

Uasi-imani, katika Ukristo: 260

mitume watangulia kuonywa: 263-5, 278-9

Uatheisti: 329-34

katika Paris mwaka 1623: 331

kushindwa kwa makanisa: 333

‘mahali pa Mungu pachukuliwa’: 329

Mapinduzi Makubwa ya Kidini: 330-1

sayansi na falsafa: 331-4

Uingereza katika 1572: 330

Ubatizo: 320-1

watoto wachanga: 9, 319

Uchawi, Sheria za Bunge za kukataza: 80

wachawi wa kike na wa kiume: 70, 79

Uchina, ngano ya muhula murua: 37

Huang-Ti (Maliki wa Manjano): 36-8

mifupa ya vinyago: 83

sherehe za kiibada za mvua: 79

Shih Huang-Ti: 170

ushirikina: 71, 76

Ufufuo, fundisho la Biblia: 222, 224-5

imani ya Kikristo: 375-6, 379

imani ya Kiislamu: 297

katika theolojia ya Kiyahudi: 222

Lazaro afufuliwa: 249-51

neno la Kigiriki: 266

Yesu si ngano: 255-6

Tales of the Hasidim: 223

Walubavitcher: 226

Uhindu: 95-128

desturi za kidini: 95

historia: 98-9, 102

istilahi ya: 106-7

kuhama kwa nafsi: 125-6

maandishi matakatifu: 17, 102-3, 105, 107

mafundisho na mwenendo: 105-14

maoni juu ya uhai: 97

puja: 5, 124

Rama: 97, 103, 116

si wenye miungu mingi?: 97, 119

ufafanuzi: 97

vijimungu na vijimungu-vike: 116-17

Yoga: 110

Uislamu: 284-303

idadi ya Waislamu: 284-5

kufia imani kwa Husayn: 295

maana ya: 285-6

misikiti: 298, 301-2

mwadhini: 5, 301

mweneo wa Uislamu: 292, 302

ndoa ya muda: 300-1

Nguzo Tano za Imani: 296

Nguzo Tano za Mwadhimisho: 303

Qurani: 5, 17, 284-91

Qurani, Hadithi, Sharia: 290-1

salat: 5, 301

shahadah, ungamo la imani: 296

Ukombozi

Russell, C. T.: 352

wakataliwa na Wabaha’i: 305

Ukristo, baraza linaloongoza: 267

hakuna jamii ya kikasisi: 269

hali ya kutokuwamo katika Roma ya kipagani: 347

hali ya kutokuwamo kisiasa leo: 344-6

‘kama Ukristo ungehifadhiwa’: 309

‘kama ulitungwa, ni mwujiza wa kustaajabisha mno’: 237

‘kizuizi cha Ukristo cha mapema’: 236

kuhubiri dini: 247-8

ufafanuzi: 235

‘ulitaka wapagani wabadilike’: 262

upendo ndio msingi: 244, 247, 344

‘ushikamanifu ulitiliwa shaka’: 60

si wa kitaifa: 348

Ukuta wa Hadrian, ibada ya Kiroma: 60-1

Ulimwengu mpya

dini moja tu: 378

Mungu ameahidi: 372-5

Umoja wa Mataifa, wafananishwa katika Biblia: 370

Unajimu: 84-8

asili ya: 84

falaki: 88

je! ni ya kisayansi?: 85

mamajusi: 86

ni yenye kufanana miongoni mwa dini nyingi: 74

orodha na ripoti za Kibabuloni: 84, 86

Siriasi na Naili: 84

Tetrabiblos ya Tolemayo: 87

unajimu-uzazi: 87

vikundi vya nyota: 86

Unamuno, Miguel de (msomi Mhispania)

‘nafsi isiyoweza kufa ni upagani’: 265

‘Yesu aliamini ufufuo’: 265

Unkulunkulu, hekaya ya kifo ya Wazulu: 56

Upendo, ufafanuzi: 247

Ushirikina: 70-2

hirizi na talasimu: 92

kuvaa mavazi meusi kwenye maziko: 70

mchezo usio na madhara?: 91-2, 94

nafsi isiyoweza kufa: 92

namba fulani: 71

siku ya kuzaliwa: 70

Utabiri wa Matukio Mema au Mabaya

fizionomonia: 89

I Ching: 83, 168

kairomansi: 90

Kichina: 83, 90

kinyago cha Delfi: 81-2

Kiroma: 82-3

ni kawaida miongoni mwa dini: 74

uaguzi wa kutumia maumbo ya ardhi (jiomansi): 83

‘Wababuloni wajulikana kwa ajili ya’: 80

yin na yang: 82-3

Zohar: 89

Utatu

Ariasi alikanusha: 274-5

fungu la Mungu lazamishwa: 277

halimo ndani ya Shema: 219

Mashahidi wakanusha: 356

mjadala ulipamba moto: 274-6

mjadala wa filioque: 280

msimamo wa Servetus: 322

msingi unaofanana: 369

ulisitawishwa katika mazingira ya kitheolojia: 229, 232

Wabaha’i wakanusha: 305

Waislamu wakanusha: 296-7

Utatu wa Vijimungu, vya, Kimisri: 59

Uhindu (Trimurti): 115-17

Uumbaji, sababu za: 336-9

Uwasiliani-roho: 69-94

hutambulisha Babuloni Mkuu: 369

Uzoroaster, Ahura Mazda, muumba: 36

Avesta, kitabu kitakatifu: 36

Vijimungu:

Amerika ya Kusini: 57-9

Dini ya Shinto: 190-2

Dini ya Tao: 172

ibada ya maumbile: 23

Kigiriki: 43, 53-4, 64, 66

Kihindu: 116-17

Kimisri: 50, 59, 62-4

Kiroma: 43, 60-1, 64-6

Waashuri-Wababuloni: 45

Vishnu, avatari kumi: 119

Mhifadhi: 115, 117

Waalbigense: 310

mfanyizo wa: 281-2

wanyanyaswa: 282

Waanabaptisti: 313, 321

Waangalizi, wazee

si maaskofu: 270-1

Wakristo wa mapema: 267, 269

Waashkenazi: 216

Wahuguenoti: 325

Wahuteri: 313, 321

Wakweka: 326

Walollard: 311

Wamennoni: 313, 321

Wapiuriti: 313, 325-6

Wasefardi, jumuiya ya Kiyahudi: 216

Wawaldo: 280-1, 310

Wayahudi: 205-34

chanzo cha jina: 207

taifa: 209

wafukuzwa Hispania: 217

Wesley, John, mwanzilishi wa Kanisa Methodisti: 327

Wittenberg, kitovu cha upinduzi wa kidini: 314-15

Wycliffe, John, Mpinduzi wa Kidini Mwingereza: 310-12, 325

Yehova: 225, 228-9, 232, 366-7

jina latumiwa mara 6,828: 228

Mungu wa unabii: 245, 367

namna ya Kilatini: 225

Yerusalemu, Wayahudi hawaruhusiwi: 215

lapinduliwa na Wababuloni: 212

lateketezwa na Waroma: 207, 215

Yesu Kristo, akubaliwa na Mungu: 252-4

alifanya miujiza: 242, 249-51

alionyesha njia ya kwenda kwa Mungu: 244, 246

alitimiza unabii: 245

alitukuza jina la Baba yake: 258-9

alizoea upendo: 242, 244, 344

kaamuru wanafunzi wahubiri: 376

kafufuliwa: 255, 375

kaonwa kuwa mdogo kwa Mungu: 274-5

kubatizwa, kupakwa mafuta: 240

kugeuka sura: 252-4

mahali pa kuzaliwa: 239

matumizi ya mifano: 238, 242

mwamba-msingi wa kanisa: 268

ni wa kingano?: 65-7, 237, 252-4

shahidi wa Yehova: 258

sifa za kumstahilisha: 236, 240

ufufuo ulichochea kuhubiri: 376

ufufuo ni msingi wa ulimwengu mpya: 375-6

Yin na yang, mbinu ya uaguzi: 82-3

wazo la Tao: 168

Yoga: 110, 137

Yosefo, Flavio, ‘Herode aliua Yohana’: 66-7

Wayahudi walikaribisha Aleksanda: 213

‘Yesu stadi’: 67

Zeu, Barnaba aitwa: 66

kijimungu cha Kigiriki: 43-4, 54

Zohari, kijimungu cha Kigiriki: 42-3

Zwingli, Ulrich, Mpinduzi wa Kidini wa Switzerland: 319-20

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki