Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
“Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
“Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.”—2 Timotheo 3:16, 17.
Ramani za jalada la ndani, mbele na nyuma, zategemea ramani zilizo haki ya uchapaji ya Pictorial Archive (Near Eastern History) Est. na Survey of Israel
Isipokuwa imeonyeshwa vingine, manukuu ya Maandiko ni kutoka Biblia ya Kiswahili ya Union Version (UV) na New World Translation of the Holy Scriptures—With References (NW), Chapa ya 1984 katika Kiingereza.