Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • rq uku. 2
  • Jinsi ya Kutumia Broshua Hii

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Jinsi ya Kutumia Broshua Hii
  • Mungu Anataka Tufanye Nini?
Mungu Anataka Tufanye Nini?
rq uku. 2

Jinsi ya Kutumia Broshua Hii

Kusudi la broshua hii ni ili kujifunza Biblia. Inapasa itumiweje? Twadokeza programu ifuatayo: Mwanzoni mwa kila somo, kuna maswali. Katika mabano baada ya kila swali, utapata nambari za mafungu ambamo majibu yanapatikana. Soma maswali yote kwanza. Yafikirie. Kisha usome kila fungu, na kuyachunguza maandiko katika Biblia yako. Unapomaliza somo, rudia maswali na ujaribu kukumbuka jibu la Biblia kwa kila swali. Unapomaliza broshua nzima, rudia mwanzo na upitie maswali yote.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki