Back Cover
Andiko la Isaya 40:11 lasema hivi kumhusu Yehova Mungu: “Atalilisha kundi lake kama mchungaji, atawakusanya wana-kondoo mikononi mwake; na kuwachukua kifuanimwake.” Unapomtazama mwanakondoo huyo aliye kifuani mwa mchungaji je, hutamani kuwa na uhusiano wa karibu hivyo na Baba yako wa mbinguni? Lakini unawezaje kumkaribia Yehova?