Yaliyomo
Ukurasa Sura
10 1 Kwa Nini Yesu Alikuwa Mwalimu Mkuu?
16 2 Barua Kutoka kwa Mungu Mwenye Upendo
21 3 Ni Nani Aliyeviumba Vitu Vyote?
37 6 Mwalimu Mkuu Aliwahudumia Wengine
47 8 Wengine Wana Mamlaka Kuliko Sisi
57 10 Yesu Ana Nguvu Kuliko Roho Waovu
62 11 Msaada wa Malaika wa Mungu
67 12 Yesu Anatufundisha Kusali
72 13 Wale Walioitwa Wawe Wanafunzi wa Yesu
77 14 Kwa Nini Tuwe Wenye Kusamehe?
82 15 Jinsi ya Kuwa Mwenye Fadhili
87 16 Ni Nini Ambacho kwa Kweli Ni cha Maana Maishani?
97 18 Je, Wewe Hukumbuka Kusema Asante?
102 19 Je, Ni Vizuri Kupigana?
107 20 Je, Unapenda Kujitanguliza Kila Wakati?
112 21 Je, Ni Vizuri Kujisifia Jambo Lolote?
117 22 Kwa Nini Hatupaswi Kusema Uwongo?
122 23 Kwa Nini Tunakuwa Wagonjwa?
132 25 Je, Watu Wanaofanya Mabaya Wanaweza Kubadilika?
147 28 Jinsi ya Kujua Yule Tunayepaswa Kumtii
152 29 Je, Karamu Zote Zinampendeza Mungu?
157 30 Jinsi Tunavyoweza Kuushinda Woga
162 31 Mahali pa Kupata Faraja
167 32 Jinsi Yesu Alivyolindwa
187 36 Ni Nani Watakaofufuliwa? Nao Wataishi Wapi?
192 37 Kumkumbuka Yehova na Mwana Wake
197 38 Kwa Nini Tumpende Yesu?
202 39 Mungu Amkumbuka Mwana Wake
207 40 Jinsi ya Kumfurahisha Mungu
212 41 Watoto Wanaomfurahisha Mungu
222 43 Ndugu Zetu na Dada Zetu Ni Akina Nani?
227 44 Rafiki Zetu Wanapaswa Kuwa Watu Wanaompenda Mungu
238 46 Je, Mungu Atauharibu Ulimwengu Tena kwa Maji?
244 47 Jinsi Tunavyoweza Kujua Har-Magedoni Imekaribia
250 48 Unaweza Kuishi Katika Ulimwengu Mpya wa Mungu Wenye Amani