Jalada la Mwisho
Unaweza kuonyesha jinsi gani kwamba unampenda Mungu kwelikweli?
Unaweza kuitegemea dhamiri yako wakati gani?
Uchaguzi wako wa marafiki unafunua nini juu yako?
Mungu anaonaje unapoheshimu au kutoheshimu mamlaka?
Kwa nini kutii kanuni za Mungu za maadili ni kwa faida yako?
Ni kwa njia gani unaweza kupata uradhi kutokana na kazi yako?
Ni nini kitakachokusaidia kukuza tamaa ya kumtii Yehova?