Yaliyomo
SEHEMU YA 1 KWA NINI UMRUDIE YEHOVA?
Katika nyakati za Biblia, watu wa Yehova walikabili changamoto sawa na zetu. Yehova aliwatafuta na kuwasaidia, na kama alivyoahidi, atafanya vivyohivyo kwetu leo. Akiwa Mchungaji mwenye upendo aliye makini, Yehova huwatafuta kondoo wake waliopotea na kuwasihi wamrudie.
Sehemu ya 1 “Aliyepotea Nitamtafuta”
SEHEMU YA 2 HADI YA 4 CHANGAMOTO
Hata waabudu washikamanifu wa Mungu pindi nyingine walihangaika, wakaumia kihisia, na kuhisi wana hatia, hali ambazo ziliathiri utendaji wao. Chunguza jinsi Yehova alivyowasaidia kupona, kushirikiana tena na watu wake, na kupata shangwe yao tena.
Sehemu ya 2 MAHANGAIKO—’Kukazwa Kila Njia’
Sehemu ya 3 KUUMIZWA HISIA—Tunapokuwa na “Sababu ya Kulalamika”
Sehemu ya 4 HISIA ZA KUWA NA HATIA—’Nitakase Kutokana na Dhambi Yangu’
SEHEMU YA 5 JINSI YA KUMRUDIA YEHOVA
Chunguza mambo yanayothibitisha kwamba Yehova anataka umrudie. Jifunze jinsi Wakristo wengi walivyomrudia Yehova, jinsi kutaniko lilivyowakaribisha, na jinsi wazee walivyowasaidia kurudia bidii yao.
Sehemu ya 5 Mrudieni “Mchungaji na Mwangalizi wa Nafsi Zenu”