Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 118-120
  • Watoto; Vijana

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Watoto; Vijana
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 118-120

Watoto; Vijana

Maoni ya Mungu kuhusu watoto

Yehova anaonyeshaje kwamba watoto na vijana wana thamani kwake?

Kum 6:​6, 7; 14:​28, 29; Zb 110:3; 127:​3-5; 128:​3, 4; Yak 1:27

Tazama pia Ayu 29:12; Zb 27:10; Met 17:6

Tazama pia “Familia”

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 1:​27, 28—Yehova anafanya kupata watoto kuwa sehemu muhimu ya kusudi lake la awali la kuijaza dunia

    • Mwa 9:1—Kupata watoto kunakuwa sehemu muhimu ya kutimiza amri ya Mungu ya kuijaza dunia baada ya Gharika

    • Mwa 33:5—Yakobo, mzee wa ukoo mwaminifu anaona watoto wake kuwa ishara ya kuwa na kibali cha Mungu

    • Mk 10:​13-16—Yesu anamwiga Baba yake kwa kuwapenda watoto

Yehova anahisije kuhusu wale wanaowatesa au kuwatendea vibaya watoto?

Kut 22:​22-24; Kum 10:​17, 18; Zb 10:​14, 15

Ni kanuni gani za Biblia zinazoonyesha kwamba watoto hawapaswi kubeba majukumu ya watu wazima?

Hes 1:3; 1Ko 13:11

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mwa 33:​12-14—Yakobo anatambua kwamba watoto wake hawawezi kutembea haraka kama watu wazima

Je, Mungu anapaswa kulaumiwa kwa sababu ya mateso wanayokabili watoto katika ulimwengu huu?

Ayu 34:10; Yak 1:13; 1Yo 5:19

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Lu 5:​18, 20, 23-25—Yesu anaeleza kwamba dhambi ndio chanzo cha magonjwa

    • Ro 5:12—Mtume Paulo anaeleza chanzo cha dhambi na kifo

Yehova anatupatia uhakikisho gani kwamba mateso wanayokabili vijana na wazee yatakwisha?

Isa 11:​6-9; Yoh 3:16; Mdo 24:15; Ufu 21:4

Je, mfano mbaya wa wazazi au kutendewa vibaya utotoni kunafanya mtu awe hana thamani au afanye makosa yaleyale ambayo wazazi wake walifanya?

Kum 24:16; Eze 18:​1-3, 14-18

Tazama pia Kum 30:​15, 16

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 2Fa 18:​1-7; 2Nya 28:​1-4—Hezekia anakuwa mfalme mkuu na mwaminifu, licha ya kulelewa na baba mwovu aliyewaua baadhi ya watoto wake mwenyewe

    • 2Fa 21:​19-26; 22:​1, 2—Yosia anakuwa mfalme wa pekee, licha ya kulelewa na Amoni, baba yake, aliyekuwa mwovu

    • 1Ko 10:​11, 12—Mtume Paulo anaeleza kwamba tunaweza kujifunza kutokana na makosa ya wengine na kuamua kutofanya makosa hayo

    • Flp 2:​12, 13—Mtume Paulo anatukumbusha kwamba tunahitaji kuufanyia kazi wokovu wetu

Majukumu ya watoto na vijana

Yehova anawaonaje watoto ambao bado wanaishi nyumbani kwa wazazi wanaomwogopa Mungu?

1Ko 7:14

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mwa 19:​12, 15—Sababu moja inayofanya mabinti wa Loti walindwe na malaika ni uadilifu wa baba yao

Ikiwa wazazi wana uhusiano mzuri na Mungu, je ni lazima watoto wao pia wawe na uhusiano mzuri na Mungu?

Met 20:11; Eze 18:​5, 10-13

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Law 10:​1-3, 8, 9—Inawezekana kwamba watoto wa Kuhani Mkuu Haruni wanauawa kwa sababu ya ulevi

    • 1Sa 8:​1-5—Ingawa Samweli ni nabii mwadilifu, watoto wake si wanyoofu

Watoto wanaotaka kibali cha Mungu wanahitaji kufanya nini?

Met 1:8; 27:11; Efe 6:​1-3

Kwa nini vijana wanapaswa kuhudhuria mikutano ya kutaniko?

Kum 31:​12, 13; Ebr 10:​24, 25

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mt 15:​32-38—Watu wanaomsikiliza Yesu wanatia ndani watoto

Kwa nini inafaa watoto wamwabudu Mungu?

Zb 8:2; 148:​12, 13

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 1Sa 17:​4, 8-10, 41, 42, 45-51—Yehova anamtumia kijana Daudi kutetea jina Lake kwa kumshinda yule jitu katili

    • 2Fa 5:​1-15—Yehova anamtumia msichana Mwisraeli kumsaidia mkuu wa jeshi asiye Mwisraeli ajifunze kumhusu Mungu wa kweli

    • Mt 21:​15, 16—Yesu anathamini jitihada za watoto za kumsifu Masihi

Mungu anawaonaje watoto wa wazazi wasio waamini?

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Hes 16:​25, 26, 32, 33—Baadhi ya watu wanapomwasi Musa na Haruni, Yehova anawaadhibu watu hao na watu wa familia zao wanaowaunga mkono

    • Hes 26:​10, 11—Ingawa Kora aliyeasi aliangamizwa, watoto wake waliokolewa, inaelekea ni kwa sababu ya uaminifu wao

Kwa nini vijana leo wanapaswa kuchagua marafiki kwa hekima?

Met 13:20; 1Ko 15:33

Tazama pia 2Ti 3:​1-5

Vijana Wakristo wanapaswa kutafuta marafiki wa aina gani?

2Ti 2:22

Tazama pia “Kushirikiana na Wengine”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki