Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 51-53
  • Maamuzi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Maamuzi
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 51-53

Maamuzi

Tunawezaje kutayarisha akili na moyo wetu ili tufanye maamuzi mazuri?

Zb 1:​1-3; Met 19:20; Ro 14:13; 1Ko 10:​6-11

Tazama pia Ezr 7:10

Kwa nini hatupaswi kufanya maamuzi muhimu haraka-haraka?

Met 21:5; 25:8; 29:20

Tazama pia Met 19:2; Mhu 5:2; 1Ti 5:22

Kwa nini tunapaswa kuepuka kuutegemea moyo wetu usio mkamilifu tunapofanya maamuzi?

Met 28:26; Yer 17:9

Tazama pia Hes 15:39; Met 14:12; Mhu 11:​9, 10

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • 2Nya 35:​20-24—Mfalme mzuri Yosia anakataa ushauri unaotoka kwa Yehova na kupigana na Farao Neko

Kwa nini ni muhimu kusali kabla ya kufanya maamuzi mazito?

Flp 4:​6, 7; Yak 1:​5, 6

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Lu 6:​12-16—Yesu anasali usiku wote kabla ya kuwachagua mitume 12

    • 2Fa 19:​10-20, 35—Anapokabili tishio kubwa, Mfalme Hezekia anasali kwa Yehova na anaokolewa

Ni nani aliye Chanzo bora cha mwongozo wa kufanya uamuzi, na anatusaidiaje kufanya maamuzi?

Zb 119:105; Met 3:​5, 6; 2Ti 3:​16, 17

Tazama pia Zb 19:7; Met 6:23; Isa 51:4

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mdo 15:​13-18—Wanapohitaji kufanya uamuzi mkubwa, baraza linaloongoza lililo jijini Yerusalemu linategemea Maandiko ili kupata mwongozo

Maamuzi kuhusu:

Ajira

Tazama “Kazi”

Burudani

Tazama “Burudani”

Kutumia wakati

Efe 5:16; Kol 4:5

Tazama pia Ro 12:11

Malengo ya kiroho

Mt 6:33; Lu 14:​27-30; 18:​29, 30

Mambo yote maishani

  • 1Ko 10:31; Kol 3:17

    • Matibabu

Law 19:26; Kum 12:​16, 23; Lu 5:31; Mdo 15:​28, 29

Simulizi la Biblia linalohusika:

Mdo 19:​18-20—Wakristo jijini Efeso wanaonyesha kwamba hawataki tena kufanya uchawi na mazoea ya kuwasiliana na roho

Ndoa

Tazama “Ndoa”

Watumishi wakomavu wa Mungu wanawezaje kutusaidia kufanya maamuzi mazuri?

Ayu 12:12; Met 11:14; Ebr 5:14

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • 1Fa 1:​11-31, 51-53—Bath-sheba anasikiliza ushauri wa nabii Nathani, ambao unamwokoa yeye na mwana wake, Sulemani

Kwa nini hatupaswi kuwategemea wengine wafanye maamuzi kwa ajili yetu?

Gal 6:5

Kwa nini tunapaswa kuazimia kutumia ushauri wa Mungu badala ya kuupuuza?

Zb 18:​20-25; 141:5; Met 8:33

Tazama pia Lu 7:30

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 19:​12-14, 24, 25—Loti anajaribu kuwaonya wanaume ambao wangewaoa mabinti zake kuhusu uharibifu unaokaribia kuja, lakini wanaume hao wanampuuza

    • 2Fa 17:​5-17—Waisraeli wanapelekwa uhamishoni kwa sababu ya kuendelea kupuuza ushauri wa Yehova

Kwa nini tunapaswa kusikiliza dhamiri yetu kwa makini tunapofanya maamuzi?

Mdo 24:16; 1Ti 1:19; 1Pe 3:16

Tunawezaje kunufaika ikiwa tutafikiria matokeo ya uamuzi wetu?

Kum 32:29; Ro 2:6; Gal 6:​7, 8

Uamuzi wetu unavyoweza kuwaathiri wengine

Ro 14:​19, 21; 15:​1, 2; Flp 1:10

Uamuzi wetu unavyoathiri wakati wetu ujao

Met 6:​26-33; 20:21; 23:​17, 18

Tazama pia Met 2:​20, 21; 5:​3-5

Uamuzi wetu unavyoathiri uhusiano wetu na Yehova

Ro 8:​7, 8; 12:2; Efe 5:10; Yud 21

Kwa nini tunapaswa kuwajibika kutokana na maamuzi yetu?

Gal 6:5; Ro 14:​4, 10, 12

Tazama pia 2Ko 5:10

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki