Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 49-50
  • Kuvunjika Moyo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuvunjika Moyo
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 49-50

Kuvunjika Moyo

Kwa nini kuvunjika moyo ni hatari kwa watumishi wa Yehova?

Met 24:10

Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova atatusaidia kukabiliana na mambo yanayotuvunja moyo?

Zb 23:​1-6; 113:​6-8; Isa 40:11; 41:​10, 13; 2Ko 1:​3, 4

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mt 11:​28-30—Yesu ambaye anaiga kikamilifu utu wa Baba yake, ni mwenye fadhili na anaburudisha

    • Mt 12:​15-21—Yesu anatimiza unabii unaopatikana kwenye Isaya 42:​1-4, kwa kuwatendea waliovunjika moyo kwa fadhili

Faraja katika Maandiko inayotusaidia kushinda baadhi ya mambo yanayosababisha tuvunjike moyo

Tazama “Faraja”

Kwa nini tunapaswa kujitahidi kuwatia moyo wengine?

Mt 18:6; Efe 4:29

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Hes 32:​6-15—Wapelelezi kumi wasio na imani wanawavunja moyo Waisraeli, na taifa zima linateseka

    • 2Nya 15:​1-8—Ujumbe kutoka kwa Yehova unamsaidia Mfalme Asa apate ujasiri na kuondoa ibada ya sanamu katika nchi hiyo

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki