Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 95-97
  • Uhuru

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uhuru
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 95-97

Uhuru

Ni nani pekee ambaye ana uhuru kamili katika ulimwengu wote?

Isa 40:​13, 15; Ro 9:​20, 21

Tazama pia Ro 11:​33-36

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Da 4:​29-35—Mfalme mwenye nguvu Nebukadneza anajifunza kwamba Yehova ndiye Mtawala Mkuu Zaidi na hakuna mtu yeyote anayepaswa kumwambia cha kufanya

    • Isa 45:​6-12—Akiwa Muumba wetu, Yehova hahitaji kutueleza kwa nini anafanya jambo fulani

Ingawa ana uhuru kamili, ni mambo gani ambayo Yehova ameamua kutofanya kamwe?

Kum 32:4; Ayu 34:10; Tit 1:2

Tazama pia Ro 9:14

Kwa nini uhuru wetu una mipaka?

Mwa 1:28; Ro 13:​1, 5, 7; 1Ko 11:3; Ebr 13:17

Kwa nini wakati mwingine Wakristo wanapaswa kudhibiti uhuru wao kwa ajili ya wengine?

Mt 7:12; 1Ko 8:13

Kwa nini tunaweza kusema kwamba watumishi wa Yehova wanafurahia uhuru mwingi?

Yoh 8:​31, 32; 2Ko 3:17

Tazama pia Gal 2:4; 4:​25, 26; 5:1

Kwa nini wale wanaomtumikia Mungu wana furaha?

Zb 40:8

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 18:3; Ebr 11:​8-10—Abrahamu, mtumishi wa Yehova, aliishi maisha yaliyojaa tumaini

    • Ebr 11:​24-26—Nabii Musa anachagua maisha ya kumtumikia Yehova, Naye anampatia Musa maisha yenye furaha, uhuru, na tumaini la wakati ujao

Yehova anatuweka huru kutokana na utumwa wa aina gani?

Ro 6:​16-18, 22; 8:2

Kwa nini hatupaswi kutumia vibaya uhuru wetu tukiwa Wakristo?

Gal 5:13; 1Pe 2:16

Ni wakati gani upendo unaweza kumchochea Mkristo kutofanya mambo fulani ambayo ana haki ya kufanya?

1Ko 9:19; 10:​23, 24, 32, 33; 13:​4, 5

Ujumbe wetu unawawekaje watu huru?

Lu 4:18; Yoh 8:​32, 36

Ni uhuru wa aina gani ambao Biblia inasema tutakuwa nao wakati ujao?

Ro 8:21; Ufu 21:​3, 4

Ni katika njia gani wale wanaofanya chochote wanachotaka wanakuwa watumwa?

Yoh 8:34; 2Pe 2:​18-20

Ni nini kinachoonyesha kwamba wanadamu wote wako sawa machoni pa Mungu?

1Ko 7:22; Gal 3:28; Kol 3:​10, 11

Tazama pia 1Ko 12:13

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki