Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 127-128
  • Yesu Kristo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yesu Kristo
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 127-128

Yesu Kristo

Jukumu la Yesu ni muhimu kadiri gani katika kutimizwa kwa kusudi la Yehova?

Mdo 4:12; 10:43; 2Ko 1:20; Flp 2:​9, 10

Tazama pia Met 8:​22, 23, 30, 31; Yoh 1:10; Ufu 3:14

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mt 16:​13-17—Mtume Petro anatambua kwamba Yesu ndiye Kristo na Mwana wa Mungu

    • Mt 17:​1-9—Sura ya Yesu inageuka mbele ya mitume wake, na Yehova anazungumza kutoka mbinguni kumhusu Mwana Wake

Kwa nini Yesu alikuwa mwanadamu wa pekee zaidi?

Yoh 8:58; 14:​9, 10; Kol 1:​15-17; 1Pe 2:22

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mt 21:​1-9—Yesu anaingia Yerusalemu akiwa juu ya punda, hivyo anatimiza unabii kuhusu Mfalme wa Kimasihi, ambaye Yehova amemchagua

    • Ebr 7:​26-28—Mtume Paulo anaeleza jinsi Yesu, Kuhani Mkuu zaidi, anavyotofautiana na makuhani wakuu wengine wote

Miujiza ya Yesu inatufundisha nini kumhusu Yesu na Baba yake?

Yoh 3:​1, 2; 5:36

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mt 4:​23, 24—Yesu anaonyesha kwamba ana nguvu zaidi ya roho waovu na anaweza kuponya kila aina ya ugonjwa na kila aina ya udhaifu

    • Mt 14:​15-21—Yesu analisha kimuujiza maelfu ya watu wenye njaa kupitia mikate mitano na samaki wawili

    • Mt 17:​24-27—Yesu anatoa pesa kimuujiza ili kutegemeza ibada ya Yehova na pia ili asiwakwaze wengine

    • Mk 1:​40, 41—Akimsikitikia kwa sababu ya ukoma aliokuwa nao, Yesu anamponya mtu mwenye ukoma, kuonyesha tamaa yake ya moyoni ya kuponya wagonjwa

    • Mk 4:​36-41—Yesu anatuliza dhoruba kali, akionyesha kwamba Baba yake amempatia nguvu ya kudhibiti hali ya hewa

    • Yoh 11:​11-15, 31-45—Yesu analia kwa sababu ya kifo cha rafiki yake, Lazaro; kisha Yesu anaonyesha kwamba anachukia kifo na madhara yake kwa wanadamu kwa kumfufua Lazaro

Ujumbe mkuu wa mafundisho ya Yesu ni upi?

Mt 9:35; Lu 4:43; 8:1; Yoh 18:37

Ni baadhi ya sifa gani zenye kuvutia ambazo Yesu alionyesha alipokuwa duniani? Ona jinsi alivyoonyesha kwamba alikuwa . . .

Jasiri—Mt 4:​2-11; Yoh 2:​13-17; 18:​1-6

Mnyenyekevu—Mt 11:29; 20:28; Yoh 13:​1-5; Flp 2:​7, 8

Mtiifu—Lu 2:​40, 51, 52; Ebr 5:8

Mwenye hekima—Mt 12:42; 13:54; Kol 2:3

Mwenye huruma; mwenye rehema —Mk 5:​25-34; Lu 7:​11-15

Mwenye kufikika—Mt 13:2; Mk 10:​13-16; Lu 7:​36-50

Mwenye upendo—Yoh 13:1; 14:31; 15:13; 1Yo 3:16

Kwa nini Yesu alitoa uhai wake, na sisi tunanufaikaje?

Mt 20:28; Yoh 3:16; Mdo 10:43; 1Yo 4:​9, 10

Kwa nini tunapaswa kushangilia kwamba Yesu Kristo anatawala akiwa Mfalme mbinguni?

Zb 72:​12-14; Da 2:44; 7:​13, 14; Ufu 12:​9, 10

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Zb 45:​2-7, 16, 17—Zaburi hii inaonyesha kwamba Mfalme aliyechaguliwa na Mungu angewashinda maadui wake wote na kutawala kwa unyenyekevu, uadilifu, na kweli

    • Isa 11:​1-10—Yesu atakapotawala akiwa Mfalme, dunia itakuwa paradiso iliyo na amani

Yesu atafanya nini hivi karibuni?

2Th 1:​7-9; 2:8; Ufu 19:​11-21

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki