Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 97-98
  • Ukomavu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ukomavu
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 97-98

Ukomavu

Kwa nini kila Mkristo anapaswa kujitahidi kuwa mkomavu kiroho?

1Ko 14:20; 1Ti 4:15

Ujuzi wa Maandiko unawezaje kutusaidia kufikia ukomavu?

Flp 1:​9-11; 2Ti 2:15; 3:​16, 17; Ebr 5:​11-14; 6:1

Je, wenye umri mkubwa tu ndio wanaoweza kufikia ukomavu?

Ayu 32:9; 1Ti 4:12

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Da 1:​6-20—Ingawa Danieli na wenzake watatu ni vijana, wanaonyesha ukomavu na utimilifu wa pekee

    • Mdo 16:​1-5—Timotheo, labda akiwa na umri wa miaka 20 hivi, anatumainiwa na kukabidhiwa mgawo muhimu

Watu wazuri tunaoshirikiana nao kwenye kutaniko wanaweza kutusaidiaje?

Efe 4:​11-14; Ebr 10:​24, 25

Ni nini kinachoonyesha kwamba sisi ni Wakristo wakomavu?

1Ko 2:​14, 15; 3:​1-3; Flp 3:​14, 15

Kwa nini mwanamume Mkristo mkomavu anapaswa kuwa tayari kukubali majukumu zaidi katika kutaniko?

Mdo 14:23; Tit 1:​5-9

Ni kwa njia gani pekee tunaweza kuwa wahubiri na walimu wakomavu na wenye matokeo?

Lu 21:​14, 15; 1Ko 2:​6, 10-13

Tazama pia Lu 11:13

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mt 10:​19, 20—Yesu anawahakikishia wafuasi wake kwamba roho takatifu itawasaidia kujua jinsi ya kutoa ushahidi wanapokabili jaribu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki